EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Hivi ni kwa nini ung'ang'anie kutwita sisi "wanyonge" tena kwa kujigamba, eti; mimi ni rais wa wanyonge"
Nani kakwambia sisi ni wanyonge? Una ajenda gani ya siri kutung'ang'aniza tuwe wanyonge?
Weee!? Shika heshima yako. Sisi sio wanyonge. Anyway, naji sema mwenyewe. Kwa kweli mimi sio mnyonge. Na kwa nini niwe mnyonge!? Hivi wewe; mimi si ndio nilikupigia kura ukapata hilo gepu la uongozi? Na wakati unaniomba hilo gepu uliniomba kwa unyenyekevu mkubwa! Nilikupa gepu na mara leo umekuwa mjanja unaniona mimi fala na unaniita "mnyonge".
Aah! Hata! Siwezi kukubali, mimi sio mnyonge bwana. Na kwa nini niwe mnyonge?
Kuna siri gani kwenye kunilazimisha niwe mnyonge?
Kama na wewe unaesoma hii post unaamini sio mnyonge mkatalie katu katu, mwambie live; hapana mzee mimi sio mnyonge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kakwambia sisi ni wanyonge? Una ajenda gani ya siri kutung'ang'aniza tuwe wanyonge?
Weee!? Shika heshima yako. Sisi sio wanyonge. Anyway, naji sema mwenyewe. Kwa kweli mimi sio mnyonge. Na kwa nini niwe mnyonge!? Hivi wewe; mimi si ndio nilikupigia kura ukapata hilo gepu la uongozi? Na wakati unaniomba hilo gepu uliniomba kwa unyenyekevu mkubwa! Nilikupa gepu na mara leo umekuwa mjanja unaniona mimi fala na unaniita "mnyonge".
Aah! Hata! Siwezi kukubali, mimi sio mnyonge bwana. Na kwa nini niwe mnyonge?
Kuna siri gani kwenye kunilazimisha niwe mnyonge?
Kama na wewe unaesoma hii post unaamini sio mnyonge mkatalie katu katu, mwambie live; hapana mzee mimi sio mnyonge.
Sent using Jamii Forums mobile app