Akina dada, lengo lenu ninini hasa??????????????

Sinai

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
288
Reaction score
47
:mullet::mullet::mullet::mullet::mullet:Wajameni, last week-end nilihudhuria harusi moja hivi, nilipo fika ukumbini, nilikutana na wanadada takribani wote wamevalia vinguo vya utatanishi!!!? Wengi wao walivaa nguo za kubana sana na trasparency yaani zinaonyesha kufuli zao zilipo anzia hadi zilipoishia, na wale waliovaa chachandu nazo zilikuwa zinaonekana wazi wazi! Ilipo fika wakati wa kujimwaga, wakawa wanashindani kukata mauno mbele ya wanaume, huku wakiinama wakiwa wanajua kabisa kuwa wamevaa vimini tena vya hatari!

Wadada lengo lenu hasa ninini hapo? Kuwatamanisha wanaume? Kuonyesha kwamba mnajua kukata mauno??????????????:mullet::mullet::mullet::mullet:
 
Hao walikuwa rafiki wa bibi harusi, bwana harusi ama ndugu zao? Sipati picha!
 
mkuu mi nilikua na wife kwenye harusi basi tabu tupu mara wanikonyeze mara wanilegezee mimacho.

ikabidi tuondoke mapema

ila wale walikua friends wa bibi harusi who happens to be my relative
 
Mambo kama hayo yanatokea kwenye harusi nyingi tu na mara nyingi hao wadada wanakuwa ni rafiki wa Bibi Harusi kama alivyosema Desidii kwamba biashara matangazo kila mtu anataka kuonekana mkali kuliko mwenzake
 
Haya! Kama ni rafiki wa bibi harusi, basi ndo picha ya huyo bi harusi wenu. Kumekucha. :coffee:
 
Haya! Kama ni rafiki wa bibi harusi, basi ndo picha ya huyo bi harusi wenu. Kumekucha. :coffee:
Digna nimeishaudhuria harusi nyingi ukifika wakati wanataja marafiki wa Bibi Harusi waje mbele nakwambia utakuwa unabaki kutoa macho maana SHOW OFF inayokuwa hapo mbele thubutu tu wasiambiwe wacheze mziki utakoma kuwafahamu anywayz wengine wanaweza wasiwe na nia mbaya lakini huwa wanasema FIRST IMPRESSION always counts.
 
Si lengo lao bali ni uhalisia ulivyo, wana-hamu na wanaume ni kidogo kuliko wanawake na hao wafanyavyo hivyo hufikiri kuwa ndio njia ya kuvutia wanaume au hata wanawake wenzao, kwani hali ya siku hizi inaonesha kuwa kufanyana wanawake wenyewe kwa wenyewe ni jambo lililokubalika.

Hapo wewe ungezowa tu aliekutia ashki ukenda kumlamba, unauliza jibu?
 
Isikupe shida mkuu. Hapo ni kuuma jino na kukunja kidole ili ujifanye unafanya uchawi fulani. Ukishindwa mwombe Mungu la sivyo utasimama tu. Nadhani wanawake wa Bongo wamegundua weekness ya wanaume ilipo na nafasi hiyo sasa wanaitumia vibaya.
 
Mambo kama hayo yanatokea kwenye harusi nyingi tu na mara nyingi hao wadada wanakuwa ni rafiki wa Bibi Harusi kama alivyosema Desidii kwamba biashara matangazo kila mtu anataka kuonekana mkali kuliko mwenzake


Hivi mpwa ukali wa hao wakinadada,
unaweza kudhihirishwa kwa kukaa uchi kweli?
 
Hivi mpwa ukali wa hao wakinadada,
unaweza kudhihirishwa kwa kukaa uchi kweli?
Unajua mtu akiwa anafanya kitu kwake yeye anaweza kuona ni sawa kwamba anaku-IMPRESS wewe kumbe ndio anaku-DISCOURAGE zaidi kila mtu huwa ana fikra tofauti yeye kukaa uchi anaweza aone sawa tu kwamba ndio njia sahihi ya kuweza kumpata mwanaume kumbuka us HUMAN BEINGS WE ARE NOT THE SAME WHEN IT COMES TO THINKING
 



unajua sinai, kwa mtazamo wangu,
mimi nadhani hii dhana ya wanaume kuanza kutongoza wanawake,
ndiyo iliyotufikisha huku!!!!!!
Kama ingetokea kuwa mwanamke nae akivutiwa na mwanaume fulani,
basi direct anamvaa jamaa na kumpa sera, haya yote ya kukaa uchi wala yasingetokea,
sasa matokeo yake unakuta njia nyepesi ya hawa dada zetu ni kujikalisha uchi na hizo nguo,
zao za utata ili wajaribu kudraw attention za wanaume!!!!
ANGALIZO: (BADO SABABU ZA KUKAA UCHI ZINAWEZA KUWA NYINGI ZAIDI YA HII)
 

nimeipenda hii mpwa,
lakini hili la kujikalisha uchi kiukweli ni upotofu w kifikra tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…