Akina dada nao wamo??

Mimi nadhani nina matatizo maana hata wale wanaojitambulisha kama wadada humu, mfano wewe, Katerelo, Preta, na wengine huwaga nawawaza kimapenzi....yaani huwaga nawavua nguo kabisa!!!

Mimi huyu Preta, Nyamayao na Binti Maringo huwa nawatamani kweli kweli kimapenzi. hasa Nyamayao huwa napendaga sana anavyotoa hoja zake nadhani ni aina ya wale masista duu wanaojifanyaga wagumu flani kuwapata. Mwenyewe unajua demu mgumu kumpata alivyo mtamu pale anapoingia kingi!!!

Ila sometimes huwa nawaza isije kuwa tuna-fantasize na maza zetu humu ndani, Mods Bana kama vipi lazimisheni watu kutaja umri wao wa kweli humu ndani:yield:
 
Ahahahahaaaah...................vyeti vya kuzaliwa vinahitajika!
 

hapo ndipo mtakapo koma....shauri zenu
 
heee.....mbona hiyo iko sana.....hata sisi huwa tunaangalia hivyo hivyo ila kimachale siyo kodokodo kama wanaume

Mpaka leo au zamani ndio mlikuwa mnaangalia kwa machale? Siku hizi mambo ya Rusia kama kawa!
 
Mpaka leo au zamani ndio mlikuwa mnaangalia kwa machale? Siku hizi mambo ya Rusia kama kawa!

..........ulikuwa unasema??.......sorry mambo ya Rusia ni yapi?
 
hapo ndipo mtakapo koma....shauri zenu

Sasa kama ninyi ni maza zetu basi acheni kulalamika kwamba vijana wanapotea kimaadili wakati kumbe na nyie mna-play part kutuharibu... Ila nini bana, mtoto wa mwenzako ni mtu mzima mwenziyo: au siyo Preta?...

Preta unajua uko vere smati sana? Halafu hilo jina lako la Preta nimelipenda kweli hadi natamani mke wangu mtarajiwa awe na jina hilo:smile::smile: Yaani nikipata mke kama wewe sintokuwa kiruka njia naapa:wink:!! Hebu niambie basi nitawapata wapi akina Preta?
 

njoo Yaeda
 
Kiumbe Preta!!kunawatu humu unawapeleka less wanatamani wangekuwa kama wacheza sinema ya matrix wapitie kwenye network wakukute waridhike??
 
kweli sisi wanaume fasta sana. fikiria kuna dada mmoja kwenye sijui ni signature au nini kaandika tengo miedo sijui maana yake lkn hata nikitembea barabarani natamka tu kwa sauti ya wastani TENGO MIEDO. nikimwona dada mzurii huwa nawaza huyu ndo first lady wa jf au preta au maria roza au ndo WOS yaani full kuchanganyikiwa . huyu aliyeandika tengo miedo basi pale kwenye location yake kaandika yupo YAEDA CHINI Arusha basi nna hamu na shauku kufika yaeda chini nipaone dah sisi wanaume km ni ndoto tu mungu katujaalia hahaa
 

Ah! Haya bwana!
 
hivi preta yaeda chini ipo pande za wapi arusha? mana niliishi mitaa ya shamsi, sekei lkn sikuwahi sikia YAEDA hebu niambie siku nikija huko japo nipite huko.
 


ha ha ha ha aaaa mkuu NN mambo ya imagination noma!
wazee wa kula kwa macho yani unamvua pretta kimoja kimoja japo kwa macho....looooh
 
Preta tuwasiliane mchango wako mzuri yaani nilikuwa nimejilaza hapa ila nimepata feeling ww ni mkali au unasemaje. Nitakupta vipi tutchat private nipe contact zako. Nitumie private msg.
 
Preta hizi kesi juu yako mbona zimekuwa nyingi siku za hivi karibuni?
 
Mimi nadhani nina matatizo maana hata wale wanaojitambulisha kama wadada humu, mfano wewe, Katerelo, Preta, na wengine huwaga nawawaza kimapenzi....yaani huwaga nawavua nguo kabisa!!!

NN unahitaji maombi, tena ya nguvu maana huyo shetani wako siyo mchezo.................. cha kutuvua nguo wake za wenzako................ ushindwe na ulegee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…