Akina NN ujanja tu wa maneno. Unaweza ukamkubalia muonane halafu akaogopa matokeo yake akamtuma rafiki yake amwakilishe. Huu ujajnja wa kwenye kompyuta ni tofauti na live.
nikimuona mwanamme mwenye kifua ninachokipenda,naaanza kuwaza jinsi ntakavyojilaza pale kifuni na kuchezea kidevu chake
halafu wewe..............................!!!!!!
hakyanani vile vifua fulani ivi huwa siachagi kupiga chabo kidogo hata kama mwanajeshi yupo karibu tofauti yetu mimacho huwa haitoki kama wanaume
Mambo vip, jana nilikuona mitaa ya kwetu
Wewe chauro,ukisha chabo nini kinafuata?????????
we acha huwa nasuuzika moyo mbaya tengenezeni miili asiwadanganye mtu na sisi huwa tunatamani mambo fulani