Am witchu brotha! but am talking about THAT one gal who's supposed to give u chillz whenever u see her...they are not there anymore. Kuna ambao watakupagawisha for a minute but ukiwatokea tu una conclude kuwa "hamna kitu hapa" thats why u keep going on and on searching for "that one"
Nimekusoma vizuri tu. Ila a free world doesnt mean a right world...na ingekuwa a real free world why dont most of u galz approach us guyz??that means we are the chooserz and all u do is agree with us...
Kuna jamaa ameniambia kuwa eti movies na songs za nje ndo zimewaharibu dada zetu....eti movie inaonyesha jamaa kakutana na demu club wakapendana then wakaishi happily thereafter!!Ktk movies na songs inabidi wafupishe story la sivyo movie itachukua siku nzima kuitazama. True love is never true at all!!!
Ok nimekupata kwahyo itabidi tuanze kuwazingua ngoja niwaambie na marafiki zangu nao wawambie na marafiki zao hatimaye woote tutajua ili tuanze kuwazungusha mpate rahakwa kweli raha ya mwanaume ni kufukuzia binti kwa muda mrefu. Hali hii inampa mwanaume bashasha, na hamu zaidi. Siku akimpata mtoto anajisikia bingwa. Hii ya kufikia kumpata bila mbinde, inakuwa haina raha wala hamasa. Kufukuzia kwa muda mrefu ndo raha!
Na nyie mmekuwaje kwani midomo yenu imekuwa rahisi sana kutongoza
Ok nimekupata kwahyo itabidi tuanze kuwazingua ngoja niwaambie na marafiki zangu nao wawambie na marafiki zao hatimaye woote tutajua ili tuanze kuwazungusha mpate raha
Na nyie mmekuwaje kwani midomo yenu imekuwa rahisi sana kutongoza
Na nyie mmekuwaje kwani midomo yenu imekuwa rahisi sana kutongoza