akina dada taratibuni

mtanzania in exile

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
1,379
Reaction score
1,276
kujipilizia perfume tele ni karaha hata kama perfume nzuri na bei kali. Perfume inatakiwa iwe wastani ili walio karibu nao wapendezwe na mnukio wako na wapende kuendelea kuvuta pumzi na sio kufika hata kuwa karaha kwa walio karibu nao. Kuna watu wanajimwagia perfume yaani mtu akiwa chumba cha tatu ofisi unaisikia harufu yake, aiiiiiiii inaudhi.
 
Mtz kaaah pole mbona huo ni udi nimejifukiza sio perfume basi kesho sijifukizii tena looo watu mna gubu ndo unakuja hadi huku si ungeniambia tu kimyakimya?
 
wakinuka vikwapa mtawasema
wakijipulizia unyunyu mnawasema.....
Loh
kweli uanamke kazi.....
 
Sababu sio kaitia nyingi kuna perfume nyengine zina kua na harufu kali,na wengine hawajui ipi ya summer wala ipi ya winter wanasukuma tuu.
 
sikuwa najua kuwa perfume sio solution ya kunuka kikwapa...... Wasipopaka wananukia?

perfume inasaidia tu kupunguza harufu ya kikwapa sio solution (tatuzi), kama hujui solution ya kikwapa iliza wenzio au jaribu kukoga kwa kutumia sabuni ya chokaa
 
perfume inasaidia tu kupunguza harufu ya kikwapa sio solution (tatuzi), kama hujui solution ya kikwapa iliza wenzio au jaribu kukoga kwa kutumia sabuni ya chokaa

kumbe solution unayo kwa nini usiongee na hao wadada wa hapo ofisini? Elimu yako utakayowapa itawasaidia wao na kukusaidia wewe kuondokana na kero ya perfume kali.....
Itasaidia ukiwapatia na sabuni za chokaa hata mbili mbili kwa kuanzia....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…