Akina Dada wa kibongo Acheni Hizo.

well noted...waache tabia mbaya....
 
Haya mambo ya chat room hayafai, na huwezi kupata mwenza online. Niliwahi kuwa na friend wa kike niliyekuwa nachati naye online, siku moja akaniuliza nipo pande gani za dunia, nikamwambia nipo Sumbawanga na siku hiyo ikawa ya mwisho kuchat naye.

Katavi,

Nakumbuka ulituaga kuwa unaenda kijijini kusherekea Noeli na mwaka mpya. Umerudi lini? Mbona hukutupa ripoti ya yaliyojiri? Jeshini tulifundishwa kuwa baada ya kufanya operation yoyote lazima mpiganaji atoe "ripoti ya maganda na risasi". Hebu basi tupe ya kwako. Risasi zimetumika au umerudisha zote?
 
hapo nimekugongea senks mpwa,money should be involved in love,siongelei pesa za kuhonga etc,ila ni pesa za kuwawezesha kumove hapa na pale na kubadilisha mazingira na huyo mwenzi wako ,kama huna pesa baba duuuuh!
 

TEh LEXUS bank....?! Aliweke barabara ashuhudie mademu wakiomba lifti kwa foleni!
 

Baba hii hoja sawia kabisa.

Lakini kupenda mteremko ni kadhia ya kawaida kwa wadada wengi sio tu wa kibongo. Popote duniani ukienda mara nyingi mapenzi yale ya dhati ni adimu kwelikweli kuyashuhudia ktk maisha halisi.

Tukumbuke kuwa tunaishi zama hizi za kila kitu kimebadilika. Vitu artificial ndio reality, cha msingi ni kuelewa mapema ishu ikoje na kuikabili.
 
hapo nimekugongea senks mpwa,money should be involved in love,siongelei pesa za kuhonga etc,ila ni pesa za kuwawezesha kumove hapa na pale na kubadilisha mazingira na huyo mwenzi wako ,kama huna pesa baba duuuuh!


Ahsante Zegere, ila umesahau kubofya kitufe cha senks. Hii ya maneno haiingii kwenye rekodi!!

Pesa ni mwisho wa maneno ndugu yangu. Ni Kigoma mwisho wa reli!! Hebu nenda sehemu uchungulie couples mbili zinapiga story. Moja inatesa na machips kuku, ice cream etc na nyingine inapambana na ugali mrenda au wali maharage kwa mama ntilie. Hawa watu watakuwa kwenye dunia mbili tofauti na nadhani hata nervous systems zao zitakuwa zinafanya kazi tofauti kabisa!

Wanaume wengi tunapenda kulalamika tu. Kama huna hela basi tafute size yako badala ya kutafuta mtoto wa geti kali halafu utake kumpa mlo mmoja kwa siku tena chakula chenyewe ni ugali na kauzu wa Mwanza! Mapenzi ya hivyo ni ya kufikirika. Lazima mwili ushibe kwanza kabla ya saikolojia kukaa sawa kwa ajili ya mambo ya mapenzi. Mungu awabariki nyote mnaohangaika kutafuta wenzi ila msilazimishe mambo.
 
This is not fair....I have seen a live example kutoka kwa kaka zetu wa bongo pia. Everyone is opportunist, so it works both ways.

No complains🙂
 
Big up to all the ladies who fix men. Some deserve it, utashangaa huyo anayetaka kuchat na madem kila siku na kuwafix na maneno matamu ya uongo ana mke ndani au ana committed r/ship na mtu. so at the end of the day ni kuwaumiza roho wadada wote wawili. Njia ya kudeal na viumbe wa aina hii ni full usanii.
 

anajifanya kumwaga mboga na we unamwaga ugali kama mpwa Gorgie Prjie vile!!!!

wao wanaendaga kwa lengo la kudanganya afu wakimkuta demu nae kabobea kwenye usanii wanaona si fair!!! kutendwa tutendwe sisi tu kwa nini?? acha mchezo uwe fair bana!!
 

we kweli hutofautiani na jina lako pole sana
 

Asavali yangu niliyeamua kujiandikia kuwa nipo Sumbawanga, now sipati usumbufu haaata kwa facebook, maana marafiki baadhi washanidelete bila kuniambia! kaazi kweriii!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…