Pinda Nhenagula
Member
- Jan 26, 2019
- 87
- 113
Mkuu,Dah maswala ya udomo zege bwana hatari yaan mpaka nimeamua kupitia wanawake madanga au bei poa. Kwa kwel hata sina muda wa kubembeleza wanawake wanaoringa wao waringe tu ila sina time na wao kabsa now naenjoy tu.
Uzi wa vijana huu sisi wengine ngoja tuupishe maana tumesha jizeekeaMi mwenyewe team domo zege. Ila nilipewa tip moja:
Anza kusalimia salimia mademu. Ukisalimia mademu 30 ndani ya mwezi tofauti tofauti, utakuta 25 na zaidi wanakujibu fresh kabisa.
Inamaanisha mademu hawana noma, ila uwoga wako ndio jau.
Ule mzigo wako toka wingereza ulifika??Dah maswala ya udomo zege bwana hatari yaan mpaka nimeamua kupitia wanawake madanga au bei poa. Kwa kwel hata sina muda wa kubembeleza wanawake wanaoringa wao waringe tu ila sina time na wao kabsa now naenjoy tu.
Wanajali sasaSa si utapata ukimwi ?
natumia salama aka kondomWanajali sasa
Sawanatumia salama aka kondom
Hahaπ π π niliwapotezea matapeli wale mkuu
Sa si utapata ukimwi ? Kaka siwezi kujiachia achia kizembe natumia kondm
Hii kauli imenikumbusha dogo mmoja aged 33 tulimzika jumamosi kama leo wiki iliyopita baada ya kukutana na wire.Dah maswala ya udomo zege bwana hatari yaan mpaka nimeamua kupitia wanawake madanga au bei poa. Kwa kwel hata sina muda wa kubembeleza wanawake wanaoringa wao waringe tu ila sina time na wao kabsa now naenjoy tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ule mzigo wako toka wingereza ulifika??
Muongeze joti na mpokiMkuu,
Tafuta pesa kula vizur , nenepa (Nona) vaa vizuri, nukia vizuri, push ndinga Kali, lala pazuri hayo mengineo yatakuja yenyeweπ
Cc. Diamond na mama yake walianza kuzeeka ndipo wakarudi ujana..
Kumeza tembo ndo nini?Sema angalia ofsa ucje ukaanza kummeza tembo ..ππππ