Akina Mama kushukuru kwa kugalagala chini ni Mila ya Mikoa ya Mbeya, Ruvuma, Mtwara na Lindi hivyo Kaskazini msiteseke!

Akina Mama kushukuru kwa kugalagala chini ni Mila ya Mikoa ya Mbeya, Ruvuma, Mtwara na Lindi hivyo Kaskazini msiteseke!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Baada ya waziri Mhagama kugalagala mbele ya Mpendwa Wetu Mh Rais Samia akimshukuru kwa misaada ya miradi jimboni wako Watu wameshangaa

Sasa kwa taarifa yenu hiyo ni Mila ya Kawaida Kabisa kule Mbeya, Ruvuma, Lindi na Mtwara

Mlale Unono 😀🌹
 
Baada ya waziri Mhagama kugalagala mbele ya Mpendwa Wetu Mh Rais Samia akimshukuru kwa misaada ya miradi jimboni wako Watu wameshangaa

Sasa kwa taarifa yenu hiyo ni Mila ya Kawaida Kabisa kule Mbeya, Ruvuma, Lindi na Mtwara

Mlale Unono 😀🌹
Acha uongo lindi na mtwara hakuna mila iyo ila Lindi wilaya ya ruangwa Kun kikundi cha kinamama na vijana wa ccm kinaitwa galauka kazi yao huwa ndio hiyo kugalagala chini ila sio mila
 
Acha uongo lindi na mtwara hakuna mila iyo ila Lindi Kun kikundi cha kinamama na vijana wa ccm kinaitwa galauka kazi yao huwa ndio hiyo kugalagala chini ila sio mila
Jamaniiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Em weka video tuone huyo Jenister akigala gala,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ninagalagala huku nikicheka (ROFL)
1000012649.gif
 
Baada ya waziri Mhagama kugalagala mbele ya Mpendwa Wetu Mh Rais Samia akimshukuru kwa misaada ya miradi jimboni wako Watu wameshangaa

Sasa kwa taarifa yenu hiyo ni Mila ya Kawaida Kabisa kule Mbeya, Ruvuma, Lindi na Mtwara

Mlale Unono 😀🌹
Kusini wanaita "kugalauka".
 
Baada ya waziri Mhagama kugalagala mbele ya Mpendwa Wetu Mh Rais Samia akimshukuru kwa misaada ya miradi jimboni wako Watu wameshangaa

Sasa kwa taarifa yenu hiyo ni Mila ya Kawaida Kabisa kule Mbeya, Ruvuma, Lindi na Mtwara

Mlale Unono 😀🌹
Na Kuna Mila wanaume wanapiga Magoti 😁😁👇👇
Screenshot_20240924-205740.jpg
Screenshot_20240924-205631.jpg
 
Baada ya waziri Mhagama kugalagala mbele ya Mpendwa Wetu Mh Rais Samia akimshukuru kwa misaada ya miradi jimboni wako Watu wameshangaa

Sasa kwa taarifa yenu hiyo ni Mila ya Kawaida Kabisa kule Mbeya, Ruvuma, Lindi na Mtwara

Mlale Unono 😀🌹
Ila hako kakipande this time mweshimiwa kama ameweka mapesa huko. Ukienda hiyo mikoa mawaziri wanapishana usiku na mchana... yaani mamiradi kama yote mabomba ya maji umeme yaani sio masihara huwo upande mh Rais anaupiga mwingi jamani... nimeona vijiji hawakuwahi waza kupata maji ila leo mabomba yamepelekwa mama anawatua ndoo wamama wakusini jamani..
 
Baada ya waziri Mhagama kugalagala mbele ya Mpendwa Wetu Mh Rais Samia akimshukuru kwa misaada ya miradi jimboni wako Watu wameshangaa

Sasa kwa taarifa yenu hiyo ni Mila ya Kawaida Kabisa kule Mbeya, Ruvuma, Lindi na Mtwara

Mlale Unono 😀🌹
 

Attachments

  • Screenshot_2024-09-25-20-18-05-1.png
    Screenshot_2024-09-25-20-18-05-1.png
    589.7 KB · Views: 3
Back
Top Bottom