johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuna tamko kaskazini wametoa?Baada ya waziri Mhagama kugalagala mbele ya Mpendwa Wetu Mh Rais Samia akimshukuru kwa misaada ya miradi jimboni wako Watu wameshangaa
Sasa kwa taarifa yenu hiyo ni Mila ya Kawaida Kabisa kule Mbeya, Ruvuma, Lindi na Mtwara
Mlale Unono ππΉ
Acha uongo lindi na mtwara hakuna mila iyo ila Lindi wilaya ya ruangwa Kun kikundi cha kinamama na vijana wa ccm kinaitwa galauka kazi yao huwa ndio hiyo kugalagala chini ila sio milaBaada ya waziri Mhagama kugalagala mbele ya Mpendwa Wetu Mh Rais Samia akimshukuru kwa misaada ya miradi jimboni wako Watu wameshangaa
Sasa kwa taarifa yenu hiyo ni Mila ya Kawaida Kabisa kule Mbeya, Ruvuma, Lindi na Mtwara
Mlale Unono ππΉ
Jamaniiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha uongo lindi na mtwara hakuna mila iyo ila Lindi Kun kikundi cha kinamama na vijana wa ccm kinaitwa galauka kazi yao huwa ndio hiyo kugalagala chini ila sio mila
Hakuna mila iyo huku kwetuJamaniiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππKuna tamko kaskazini wametoa?
Kusini wanaita "kugalauka".Baada ya waziri Mhagama kugalagala mbele ya Mpendwa Wetu Mh Rais Samia akimshukuru kwa misaada ya miradi jimboni wako Watu wameshangaa
Sasa kwa taarifa yenu hiyo ni Mila ya Kawaida Kabisa kule Mbeya, Ruvuma, Lindi na Mtwara
Mlale Unono ππΉ
Semaa kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna mila iyo huku kwetu
Na Kuna Mila wanaume wanapiga Magoti ππππBaada ya waziri Mhagama kugalagala mbele ya Mpendwa Wetu Mh Rais Samia akimshukuru kwa misaada ya miradi jimboni wako Watu wameshangaa
Sasa kwa taarifa yenu hiyo ni Mila ya Kawaida Kabisa kule Mbeya, Ruvuma, Lindi na Mtwara
Mlale Unono ππΉ
Mila ya Mbunge wako mstaafu Bilionea Sugu πNa Kuna Mila wanaume wanapiga Magoti ππππView attachment 3105681View attachment 3105682
Ila hako kakipande this time mweshimiwa kama ameweka mapesa huko. Ukienda hiyo mikoa mawaziri wanapishana usiku na mchana... yaani mamiradi kama yote mabomba ya maji umeme yaani sio masihara huwo upande mh Rais anaupiga mwingi jamani... nimeona vijiji hawakuwahi waza kupata maji ila leo mabomba yamepelekwa mama anawatua ndoo wamama wakusini jamani..Baada ya waziri Mhagama kugalagala mbele ya Mpendwa Wetu Mh Rais Samia akimshukuru kwa misaada ya miradi jimboni wako Watu wameshangaa
Sasa kwa taarifa yenu hiyo ni Mila ya Kawaida Kabisa kule Mbeya, Ruvuma, Lindi na Mtwara
Mlale Unono ππΉ
wakugalauka wapo kwa majaliwa tu ruangwa bcSemaa kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23]
Baada ya waziri Mhagama kugalagala mbele ya Mpendwa Wetu Mh Rais Samia akimshukuru kwa misaada ya miradi jimboni wako Watu wameshangaa
Sasa kwa taarifa yenu hiyo ni Mila ya Kawaida Kabisa kule Mbeya, Ruvuma, Lindi na Mtwara
Mlale Unono ππΉ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na hao
wakugalauka wapo kwa majaliwa tu ruangwa bc