Akina mama kwa nn mpo hivi?

Mimi huwa nawapisha lakini nakereka sana.
Kama unaona gari imejaa na una kitumbo kwanini upande?
Au vibabu na vibibi navyo si vitulie majumbani.
Mwingine anapanda na watoto kibao. Nao wajitazame.
Umpishe mwenzio wewe uminywe jamani.
Tunapendana ila tunaanza kuzipenda nafsi zetu kwanza.
 
kwa upande wangu,mimi ningewapa sit,lakini kusema ukweli,kuna ukweli ndani yake.mimi nikienda benk,huwa nahisi w.me wana huduma nzuri kuliko w.ke,au passport control naamini bora nikutane na m.me kuliko m.ke
 

pumba. Kwani hao kina mama wanazaa tu kama bikira maria?
 

rudi mirembe utakuwa hujapona wewe, unauliza babuau bibi anaenda wapi? Umenisikitisha san.tatizo watz bado hatuna adabu kabisa
 
Nikupishe kwani mie ndi nilikutuma upande daladala lililojaa ebo!!
 
nikupishe kwani mie ndi nilikutuma upande daladala lililojaa ebo!!

mh,maria roza acha hizo! Hivi kuna mtu anapenda kupanda daladala iliyojaa?
Mi huwa nawapisha tu maana kiukweli huwa sipendi kumshikia mtu mtoto maana naogopa kuachiwa bureee.

Ni kweli ukianda bar na mwanaume kama utahudumiwa na mdada unaweza upate hasira sana,cjui wanakua na wivu au ni nn,nashindwa kuelewa.
 
Yaani kazi kweli kweli unakuta mama au dada kauchubua mama ana mimba tumbo hilo hata kumpisha aaah yeye hana hata time ndo kwanza anajifanya anasinzia

Kwakuwa mimba si ugonjwa na ni hali ya kujitakia ndo maana wanawake huwa hawashughuliki kuwapisha kwenye daladala kukaa.
mpeleke dem leba uone manesi watakavyo anza kumsakama na hata kumtusi vibaya.
 
Mi bado niko huku kwa madaladala. Kwanza wenyewe ndio wang'ang'ania kukaa mjini kwenye magari kujaa rudini vijijini huku c twajitembelea kwa miguu tu hakuna kubanana
 

i dhana naipinga naikataa cz mpk nimefika apa ni mesapotiwa na mademu/wanawake
tunapendana
km kuchukiana ni chuk za kawaida ambazo ata wanaume pia wanachukiana au mnataka mniambie kwamba nyiny wanaumne woooooooooooooooote mnapendsana?hakuna mnaochukiana|?
 
:car:hapo sijaelewa au nije kabisa tueleweshane on a one-to-one basis Rose?

hahah hahahh!!
pole kwnye fone buku yako kuna mngon ata mmoja?basi mwandikie ivo PAMADAKU then u wl c
 
"there is no natural law for a person to love his/her neighbour" by Ivan Karamazov of the Karamazov brothers
 
hahah hahahh!!
pole kwnye fone buku yako kuna mngon ata mmoja?basi mwandikie ivo PAMADAKU then u wl c

hahahahhaa...yupo ila naogopa lisije kuwa tuci je? si ataninyonga?
 
Jana nimempakata mtoto kwenye daladala si akanikojolea dah bora ningempisha mama akae tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…