Akina mama kwa nn mpo hivi?


Daa yani, kwa hili jamani ni hata ukiona kwene daladala watu hawakwambii mlete mtoto tukusaidie, usilalamike.
Imagine ndo asubuhi umejipandia zako daladala unaenda kwene pilika pilika, mtu mtoto, mchafu, mikojo, kanga aliofunikwa nayo daaaa,

Jamani naomba msamaha tu.
Lakini kama mtoto ni msafi, wala sekunde haipiti, utasikia MLETE MTOTO TUKUSAIDIE.
 

Nahisi wanawake tuna hulka ya kutopendana sisi kwa sisi,
Mi nakumbuka hata shule bwana, msichana mwenzio anaweza asikusaidie kitu anachokifahamu, lakini akamsaidia mvulana.
Akakunyima material, akampa mvulani.

Hata kumweleza mwalimu wa kike tatizo inakuwa ngumu kidogo kuliko mwalimu wa kiume.
Duu Maofisini sasa, mwanaume anaweza kupata huduma nzuri kwa haraka kuliko mwanamke.

Duuu labda ni hulka ya kike.
 
Kama gari limejaa naye anapanda ina maana kaamua kusimama, sasa kwa nini apishwe? ila incase of emergency yan kazidiwa watu wanajua huyu jaman anawahi hosp watampisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…