Akina Mwabukusi wako wengi na kila Mwabukusi atakayeibuka atakuwa mkali kuliko aliyetangulia

Akina Mwabukusi wako wengi na kila Mwabukusi atakayeibuka atakuwa mkali kuliko aliyetangulia

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Alianza Ben haijulikani alipotea au alipotezwa akaibuka Mdude.

Mdude akadhibitiwa kwa tahadhari kubwa sana Lakini akashindikana na amekuwa Sugu zaidi.

Ghafla kaibuka Mwabukusi katika Mfumo uleule wa kutoogopa wala kuendekeza njaa kama tumbili 😂

Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 wataibuka akina Mwabukusi wengi na Watagombea Ubunge na Kulinda Kura zao.

Hawa watu hizi ni nyakati zao kama anavyorudi baba yao Trump pale White House.

CCM ienende nao kwa uangalifu na Umakini mkubwa.

Akina Mwabukusi ni zao la Shujaa Magufuli bila kujijua na Matunda ya Tundu Lisu kwa kujitoa muhanga.

Nawatakia Wednesday Njema 😀
 
Alianza Ben haijulikani alipotea au alipotezwa akaibuka Mdude.

Mdude akadhibitiwa kwa tahadhari kubwa sana Lakini akashindikana na amekuwa Sugu zaidi.

Ghafla kaibuka Mwabukusi katika Mfumo uleule wa kutoogopa wala kuendekeza njaa kama tumbili 😂

Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 wataibuka akina Mwabukusi wengi na Watagombea Ubunge na Kulinda Kura zao.

Hawa watu hizi ni nyakati zao kama anavyorudi baba yao Trump pale White House.

CCM ienende nao kwa uangalifu na Umakini mkubwa.

Akina Mwabukusi ni zao la Shujaa Magufuli bila kujijua na Matunda ya Tundu Lisu kwa kujitoa muhanga.

Nawatakia Wednesday Njema 😀
Magufuliction inspiration shall surface across the country to the extent of fisting the wall
 
Alianza Ben haijulikani alipotea au alipotezwa akaibuka Mdude.

Mdude akadhibitiwa kwa tahadhari kubwa sana Lakini akashindikana na amekuwa Sugu zaidi.

Ghafla kaibuka Mwabukusi katika Mfumo uleule wa kutoogopa wala kuendekeza njaa kama tumbili 😂

Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 wataibuka akina Mwabukusi wengi na Watagombea Ubunge na Kulinda Kura zao.

Hawa watu hizi ni nyakati zao kama anavyorudi baba yao Trump pale White House.

CCM ienende nao kwa uangalifu na Umakini mkubwa.

Akina Mwabukusi ni zao la Shujaa Magufuli bila kujijua na Matunda ya Tundu Lisu kwa kujitoa muhanga.


Tunahitaji wazalendo wengi zaidi.
Tunahitaji wazalendo wengi zaidi wenye uchungu na Tanganyika.
 
Back
Top Bottom