Akionyesha ulimi hivi ana maana gani?

Hakikisha kwanza una pesa, then tafuta tafsiri ya hiyo kitu.
 
... hapo aliiahakuona 'si'mali'kitu' yaani kama ni juice basi wewe ni juice ya bamia kabisa!
😅
 
Nandy wa Bilnasi anapenda Sana kuuma lips namna hiyo ila sijui anakuwaga anamaanisha nini
 
Jirani hiyo kwa mwanaume mbaya.!! Hapo ni kukimbia, mana utalipa nauli yake na chips kavu alizokuagizia.!! 🤣🤣🤣
Akifika hiyo stage hata hizo chipsi hazitamani wala hana haja nazo,
Hapo anahisi baridi,anachotaka ni kupelekewa moto tu.
 
Naona mmedanganyama sana kwenye comment, inshort huyo ni msimbe mwenye pepo la ngono anatafuta kuimeza pochi yako ikibid aondoke na Afya yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…