Akipatikana hata leo naoa

Akipatikana hata leo naoa

japhet nkwabi

Member
Joined
Mar 8, 2013
Posts
91
Reaction score
15
sina utani na mtu humu ndani kiukweli akipatikana binti alietayari kuingia kwenye ndoa njoo kwa 0768964697 kwa maelezo zaidi
 
Unajua maana ya ndoa wewe?

Au unaongea tu kwa vile neno kuoa ni jepesi kutamkika?
 
Mkuu mpaka sa hv hata beep hujapokea??tafadhali nipigie??

PM hawajaja???
 
Unajua maana ya ndoa wewe?

Au unaongea tu kwa vile neno kuoa ni jepesi kutamkika?
Ndoa anayomaanisha mwenzetu hapa ni pale kwa kitanda akiwa anashughulika,ngoja akutane na wenzake ambao nao ni wa namna yake wakaoane fasta.
 
Mbona kupima haitajwi au ni wale tu wanaojitambua??????tutauwana namna hii jamani
 
ukipata wengi naomba unigawie na mie manake sote twahitaji lakn ndo hvo tena domo zege
 
tena @gfsonwin inabidi huku akomalie sana......,maana huyu anahitaj fasta,hata elim anaeza kuwa amemzidi yule wa
mtaa wa pili

sasa huyu naye sio kaa @krikou wa kwanza?? manake nikimkubali utaona anaaza kunizingua bana. ngoja nijaribu bahati yangu bana.
 
sina utani na mtu humu ndani kiukweli akipatikana binti alietayari kuingia kwenye ndoa njoo kwa 0768964697 kwa maelezo zaidi
Japhet nkwambi je utanipenda mimi umri wangu ni miaka 22 kazi yangu nauza steshenari manzese na naish kwa mfuga mbwa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom