Akipatikana Rais toka Tanganyika akodishe/Auze Tumbatu, Mji Mkongwe au Kizimkazi kwa mkataba kama wa Loliondo au Ngorongoro

Akipatikana Rais toka Tanganyika akodishe/Auze Tumbatu, Mji Mkongwe au Kizimkazi kwa mkataba kama wa Loliondo au Ngorongoro

Kinyungu

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2008
Posts
19,484
Reaction score
38,416
Wakuu inauma sana kile kinachoendelea Loliondo na Ngorongoro. Kule ukienda ni kama upo nchi ya kigeni.

Hebu vuta picha ya pale kijijini kwako kwenye asili yenu...ghafla wanakuja watu wanawambia mnatakiwa mhame mwende kwenye eneo jipya msilowahi kulifahamu kabla tena mhame kwa lazima. Mkibisha police wanakuja na defender/cruzer na mitutu kuwa lazima mhame. Na kuanzia wakati huo hamtakiwa kamwe kurudi kwenye maeneo yenu ya asili.

Wakuu inauma sana, mimi nashauri ikitokea Rais amepatikana tena toka Tanganyika auze au akodishe sehemu yoyoye ya Zanzibar iwe mji Mkongwe, Kizimkazi, Tumbatu au Chake Chake ili hawa watu nao waone machungu ya dhuluma wanayofanyia wenzao wa bara.

Mwinyi aliacha tatizo Loliondo na sasa ni zamu ya Wamasai wa Ngorongoro
 
Wakuu inauma sana kile kinachoendelea Loliondo na Ngorongoro. Kule ukienda ni kama upo nchi ya kigeni.

Hebu vuta picha ya pale kijijini kwako kwenye asili yenu...ghafla wanakuja watu wanawambia mnatakiwa mhame mwende kwenye eneo jipya msilowahi kulifahamu kabla tena mhame kwa lazima. Mkibisha police wanakuja na defender/cruzer na mitutu kuwa lazima mhame. Na kuanzia wakati huo hamtakiwa kamwe kurudi kwenye maeneo yenu ya asili.

Wakuu inauma sana, mimi nashauri ikitokea Rais amepatikana tena toka Tanganyika auze au akodishe sehemu yoyoye ya Zanzibar iwe mji Mkongwe, Kizimkazi, Tumbatu au Chake Chake ili hawa watu nao waone machungu ya dhuluma wanayofanyia wenzao wa bara.

Mwinyi aliacha tatizo Loliondo na sasa ni zamu ya Wamasai wa Ngorongoro
Umeongea ukweli auze hivyo vitongoji vya znz mpka nyumbani kwa mama abdulii
 
Zanzibar ni conservation area ndani ya jamhuri ya muungano wa Tanzania, haiguswi inatunzwa kwa ajili ya wazanzibar tu na ndio maana mtanganyika hapati shamba huko. Kizimkazi iwekezwe kwa faida ya muungano wazanzibar hawatakubali, watakuja na hoja kwamba hilo swala si la muungano
 
Back
Top Bottom