Jambo iko wana jf?
Nianze kwa kuwashukuru manake kuna matatizo yangu nliwekaga hapa nkapata ushauri wa tiba mbadala na maoni kibao tu sasa niko poa mpaka najishangaa.
Sasa nina friend wangu jinsia me akipewa taarifa yyte ya kushtua tu au mf. akikutana na mtu anaemdai tu tumbo linamchafuka anatapika na kuharisha.
Majuzi tulienda nae church waliposema wageni wapite mbele kujitambulisha nkashangaa namuona ka change coz kama ameshtuka flani baada ya kukaa nae chini ndo akanieleza matatizo yake kuwa walivyotangaza yeye kusimama tu hapo hapo tumbo likamvuruga na alipotoka nje akaanza kutapika. Kuna mwenye kulijua hili tafadhali.
N.B Najua wapo watakaobeza na kuzani hili ni tatzo langu ila nimeamua kumvisha mshkaji. Please am serious kama una namna ya kushauri karibu kama hujui pita kimya tu
Nianze kwa kuwashukuru manake kuna matatizo yangu nliwekaga hapa nkapata ushauri wa tiba mbadala na maoni kibao tu sasa niko poa mpaka najishangaa.
Sasa nina friend wangu jinsia me akipewa taarifa yyte ya kushtua tu au mf. akikutana na mtu anaemdai tu tumbo linamchafuka anatapika na kuharisha.
Majuzi tulienda nae church waliposema wageni wapite mbele kujitambulisha nkashangaa namuona ka change coz kama ameshtuka flani baada ya kukaa nae chini ndo akanieleza matatizo yake kuwa walivyotangaza yeye kusimama tu hapo hapo tumbo likamvuruga na alipotoka nje akaanza kutapika. Kuna mwenye kulijua hili tafadhali.
N.B Najua wapo watakaobeza na kuzani hili ni tatzo langu ila nimeamua kumvisha mshkaji. Please am serious kama una namna ya kushauri karibu kama hujui pita kimya tu