johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Huo ndio Ukweli' Bila Freeman Mbowe Chadema lazima ianze kutembeza Kikapu cha Sadaka kama enzi za Padre Slaa
Na bila Tundu Lissu Chadema hainaga Wapiga Kura Kabisa yaani October itabidi wamtafute Lowassa mwingine CCM aje na Watu wa kuwapigia kura Wagombea Ubunge kama enzi za Dr Mollel na Cecil Mwambe
CCM this time imewaweka Chadema Katika mazingira magumu Mno 😄
Ahsanteni Sana
Na bila Tundu Lissu Chadema hainaga Wapiga Kura Kabisa yaani October itabidi wamtafute Lowassa mwingine CCM aje na Watu wa kuwapigia kura Wagombea Ubunge kama enzi za Dr Mollel na Cecil Mwambe
CCM this time imewaweka Chadema Katika mazingira magumu Mno 😄
Ahsanteni Sana