johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
fedha zipo tu cha msingi ni majira ya ushindi kwa tundu lisuHuo ndio Ukweli' Bila Freeman Mbowe Chadema lazima ianze kutembeza kikapo cha Sadaka kama enzi za Padre Slaa
Na Bila Tundu Lisu Chadema hainaga Wapiga Kura Kabisa yaani October itabidi wamtafute Lowassa mwingine CCM aje na Watu wa kuwapigia kura Wagombea Ubunge kama enzi za Dr Mollel na Cecil Mwambe
CCM this time imewaweka Chadema Katika mazingira magumu Mno π
Ahsanteni Sana
Ukishamiliki watu umemiliki pesa.Watu ni fedha.
Mtoa mada penye wengi hapaharibiki jambo. Watu ndiyo mtaji wa frdha
Chadema ilipofikia haiwezi kukosa pesa mkuu za kukiendesha chama ,hata mzee mgaya anajua, ni propaganda za machawa wa MboweHuo ndio Ukweli' Bila Freeman Mbowe Chadema lazima ianze kutembeza kikapo cha Sadaka kama enzi za Padre Slaa
Na Bila Tundu Lisu Chadema hainaga Wapiga Kura Kabisa yaani October itabidi wamtafute Lowassa mwingine CCM aje na Watu wa kuwapigia kura Wagombea Ubunge kama enzi za Dr Mollel na Cecil Mwambe
CCM this time imewaweka Chadema Katika mazingira magumu Mno π
Ahsanteni Sana
Ninyi si huwa mnasema "kazi iendelee" sasa "kazi ipo" nayo imetoka wapi?!Kazi ipoππ
CCM akili KubwaKazi ipoππ
Na la kwao bado linachemka bado kulipuka tu π€CCM akili Kubwa
Wamemkamata Mbowe ( Dr Mashinji)
Wamemkamata Lisu ( mchungaji Msigwa)
Hakunaga kufurukuta πππ
Tena mkuu wanazigo zito balaa ,watacheza sana wimbo wa kasongo yeye sana ,mwaka huuNa la kwao bado linachemka bado kulipuka tu π€
Kasongo yuko Kenya ππTena mkuu wanazigo zito balaa ,watacheza sana wimbo wa kasongo yeye sana ,mwaka huu
Mbowe pesa anatoa wapi,Huo ndio Ukweli' Bila Freeman Mbowe Chadema lazima ianze kutembeza Kikapu cha Sadaka kama enzi za Padre Slaa
Na bila Tundu Lissu Chadema hainaga Wapiga Kura Kabisa yaani October itabidi wamtafute Lowassa mwingine CCM aje na Watu wa kuwapigia kura Wagombea Ubunge kama enzi za Dr Mollel na Cecil Mwambe
CCM this time imewaweka Chadema Katika mazingira magumu Mno π
Ahsanteni Sana
CCMMbowe pesa anatoa wapi,
Nani hao akina ninyi?πNinyi si huwa mnasema "kazi iendelee" sasa "kazi ipo" nayo imetoka wapi?!
Mazezeta ya Lumumba.Nani hao akina ninyi?π