Pre GE2025 Akishinda Mbowe Chadema itakuwa na fedha bila Wapiga Kura na akishinda Tundu Lissu Chadema itakuwa na Wapiga Kura bila fedha, chaguo ni lako!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Huo ndio Ukweli' Bila Freeman Mbowe Chadema lazima ianze kutembeza Kikapu cha Sadaka kama enzi za Padre Slaa

Na bila Tundu Lissu Chadema hainaga Wapiga Kura Kabisa yaani October itabidi wamtafute Lowassa mwingine CCM aje na Watu wa kuwapigia kura Wagombea Ubunge kama enzi za Dr Mollel na Cecil Mwambe

CCM this time imewaweka Chadema Katika mazingira magumu Mno πŸ˜„

Ahsanteni Sana
 
fedha zipo tu cha msingi ni majira ya ushindi kwa tundu lisu
na atashinda kwa kishindo
mbowe atulelee chama tu
 
Chadema ilipofikia haiwezi kukosa pesa mkuu za kukiendesha chama ,hata mzee mgaya anajua, ni propaganda za machawa wa Mbowe
 
Mbowe pesa anatoa wapi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…