Akitokea Rais mwingine kama misimamo ya Hayati Magufuli pale CCM kuna siku mtajificha na jina lenu la mama

Akitokea Rais mwingine kama misimamo ya Hayati Magufuli pale CCM kuna siku mtajificha na jina lenu la mama

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Umama umekuwa sana kwa machawa na mifumo mibovu sana inayopelekea hata CAG au idara nyingine kuonekana zimekosa kazi.

Wasanii na chawa ndio wamekuwa watumishi wa Serikali na wawekezaji wa taifa kuliongoza.

Sasa Profesa Kabudi kaona na yeye kuchukua nafasi za singeli sababu sanaa inalipa kwa mama.
 
Back
Top Bottom