Akivunja vyombo dada huwa si muangalifu lakini akivunja mother house ni bahati mbaya?

Inategemea lakini...

Mother house anaweza vunja ndani ya miezi 6 mara moja tu...

Ila mdada wa kazi mwezi tu vyombo vyote vimekwisha...


Cc: mahondaw
 
Inategemea lakini...

Mother house anaweza vunja ndani ya miezi 6 mara moja tu...

Ila mdada wa kazi mwezi tu vyombo vyote vimekwisha...


Cc: mahondaw
Ni kwasababu mother house anaweza kuosha vyombo mara moja ndani ya miezi sita lakini dada hii ni moja ya daily routine za job description
 
Mimi nakumbuka watoto tukivunja makusudi piah Dada akivunja makusudi mama akivunja bahati mbaya alafu watoto tunaambiwa mkamwambie shangazi yenu alipeee jaman

Ila siyo mbaya wanatufundisha kuwa makini siku nyingine.
hahahaaa mashangazi wanakoma aisee, naambiwaga kichwa kama cha shangazi yako.
 
hahahaaa mashangazi wanakoma aisee, naambiwaga kichwa kama cha shangazi yako.
Yani basi tu kila kitu mashangazi sijui kwanini?
Ukiharibu Tv utasikia mama anasema shangazi yako atalipaaaa muone mikono imelegea kama shangazi yako fulani anamtaja yule wifiii yake legelege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…