demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Baada ya mechi ya Mtibwa niliweka uchambuzi wangu humu kumhusu CHAMA.
Niliweka wazi kuwa CHAMA amebakiza jina tu na wala hana uwezo wa kucheza LIGI KUU BARA kwa ufanisi tena.
Umri umemtupa, Ushindani kwenye Ligi Umeongezeka.
Ujio wake uliongeza zaidi idadi ya wachezaji wenye miaka 31 na kuendelea.
Sasa anaishi kwa pressure kubbwa sana kutoka kw amashabiki wanao mtaka awe anafunga magoli kama enzi zile. Enzi ambazo kimtazamo zilikuwa za mwisho katika maisha yake ya soka.
Wapo walionibeza na wapo wengine walio nyanyua hata simu zao kunipigia na kunishambulia kwa uchambuzi wangu.
Kuna waliosema kuwa Chama hakuonyesha kiwango kwa sababu ya maji uwanjani. Sasa je na pale Kaitaba kulijaa maji?
Simba hatokuja twaa Ubingwa wa LigiKUU akiwa na CHAMA, BOCCO, MUGALU, KAGERE na KAPOMBE.
Inabido hiko kizazi kiondoshwe mapema ili kuwepo na nafasi kwa ajili ya damu mpya.
- Bela Ciao -
Niliweka wazi kuwa CHAMA amebakiza jina tu na wala hana uwezo wa kucheza LIGI KUU BARA kwa ufanisi tena.
Umri umemtupa, Ushindani kwenye Ligi Umeongezeka.
Ujio wake uliongeza zaidi idadi ya wachezaji wenye miaka 31 na kuendelea.
Sasa anaishi kwa pressure kubbwa sana kutoka kw amashabiki wanao mtaka awe anafunga magoli kama enzi zile. Enzi ambazo kimtazamo zilikuwa za mwisho katika maisha yake ya soka.
Wapo walionibeza na wapo wengine walio nyanyua hata simu zao kunipigia na kunishambulia kwa uchambuzi wangu.
Kuna waliosema kuwa Chama hakuonyesha kiwango kwa sababu ya maji uwanjani. Sasa je na pale Kaitaba kulijaa maji?
Simba hatokuja twaa Ubingwa wa LigiKUU akiwa na CHAMA, BOCCO, MUGALU, KAGERE na KAPOMBE.
Inabido hiko kizazi kiondoshwe mapema ili kuwepo na nafasi kwa ajili ya damu mpya.
- Bela Ciao -