Akothee atoa kitchen party kali kwa wanawake wa kitanzania hasa hamisa mabeto

Kazi kumsema hamisa kumbe naye ni kahaba wa kutupa asante kwa kutufumbua macho
Kumbe hukumwelewa, anamsema hamisa eti kacheza game vibaya.
Akithee ana ela ana nyumba Uswiss alikuwa kaolewa na Barozi if not mistaken, inawezekana ndiye msanii mwenye ela Ea
 
Kumbe hukumwelewa, anamsema hamisa eti kacheza game vibaya.
Akithee ana ela ana nyumba Uswiss alikuwa kaolewa na Barozi if not mistaken, inawezekana ndiye msanii mwenye ela Ea
Asante kwa kunielewesha wote ni mfanano wanatofautiana uzoefu tu
 
Kumbe hukumwelewa, anamsema hamisa eti kacheza game vibaya.
Akithee ana ela ana nyumba Uswiss alikuwa kaolewa na Barozi if not mistaken, inawezekana ndiye msanii mwenye ela Ea
Kila mtu ana njia zake za kucheza game ili atoke,kwa Hamissa bahati mbaya imefail....

Huyo akothee nae apaswi kumsema hamissa maana nae utajiri wake umetokana na wanaume.

Wote ni magold digger tu sema yeye keshatusua.
 
Kila mtu ana njia zake za kucheza game ili atoke,kwa Hamissa bahati mbaya imefail....

Huyo akothee nae apaswi kumsema hamissa maana nae utajiri wake umetokana na wanaume.

Wote ni magold digger tu sema yeye keshatusua.

Ndio maana kasema ukila na kipofu usimshike mkono!Ananjitambua sana Akothee, huyo Hamisa angekula kimya kimya!
 
Ndio maana kasema ukila na kipofu usimshike mkono!Ananjitambua sana Akothee, huyo Hamisa angekula kimya kimya!
Kila mtu ana mahesabu yake huwezi jua mond alimuhaidi nini huko pembeni.
 
Huhuhuuuu cheki unavyoumia kwa ujumbe wa akotheee pole weee. Upooze usipoozee ujumbe ushafika
kipenz uwe unafikiria kila kauli kwanza.
huyo kaka kasema gold diggers wa kizaramo hawataelewa..mi ndo nkamjibu ndo mana uzi umepopza nkimaanisha wale gd wa kizaramo lugha pia imewapita kushoto hawajaelewa.ingekuwa ujumbe wa akothee umeandikwa kwa kiswahili nwanzo mwisho ungeona uzi unavoenda kwa speed wanachamba wee kila mtu na lake..ndo topic zao hizi

mi wala sijakoment kudis uzi wako
 
mi nlikua namuheshimu sana huyu akothee...namuona kivingine kumbe nae ni walewale..
hata shilole ana afadhali
 
Rav4 inawatoa povu[emoji23][emoji23][emoji23]

Ila hamisa kajua kuwatesa
Angenunuliwa ferrari east africa wangekesha wanaomboleza
 
Kazi kumsema hamisa kumbe naye ni kahaba wa kutupa asante kwa kutufumbua macho
Haha uwez fananisha umalaya wa akothee na mobeto,...yani awa niwatu wawili tofaut ut talkin abt amillionaire woman anae tumia brains na mtu kama video vixen jaman kama mobeto
 
Rav4 inawatoa povu[emoji23][emoji23][emoji23]

Ila hamisa kajua kuwatesa
Angenunuliwa ferrari east africa wangekesha wanaomboleza
yani rav4 na milliom ngapi zile kafumbua domo angetulia apige hela nzuri,...akumbuke ao wakina zari wana mahela yao na wana magari ya kifahari tena sio yakununuliwa,...mwanaum kutombesha kawaida ata ww unatombewa tu kwaio angechuna tu mbna kuzalishwa si ajabu,...sasa yy ameona dili kwelikweli
 
Haha uwez fananisha umalaya wa akothee na mobeto,...yani awa niwatu wawili tofaut ut talkin abt amillionaire woman anae tumia brains na mtu kama video vixen jaman kama mobeto
Kuna mahali nimesema wote ni walewale wanatofautiana uzoefu wa kuchuna mabuzi
 
Nshatoa ya moyon my dear.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…