Acha wivu, umezoea nyumba zenye ramani kama ya kota.?hayo matofali yanapatikana wapi bongo jamani
ila hyo ramani sio kiviile
WIVU NINAO NDIO ILA HYO RAMANI HAIJANIVUTIA TUPO KARNE YA 21 MKUUAcha wivu, umezoea nyumba zenye ramani kama ya kota.?
Nyumba bora kabisa yenye viwango.
Utakuwa umeishi sana kwenye ma 'fleti' but sikuzuii unachokipenda.WIVU NINAO NDIO ILA HYO RAMANI HAIJANIVUTIA TUPO KARNE YA 21 MKUU
Ndiyo maana CCM itaendelea kwa muda mrefu sana kutawala nchi hii. Hilo la kusema aina hiyo ya matofali ndiyo "Quarry" na yanapatikana Kenya halafu kuulizia eti kama Tanzania yapo, ndiyo umenimaliza kabisa!!Miss Natafuta, haya yanaitwa quarry. yanapatikana Kenya. Sijuwi kama bongo yapo.
Uko sahihi hata huyo binti anajituma sana kuna picha zake niliziona zinamuonesha akijishughulisha na mambo ya kilimo na ufugajigeniveros, sifa tu ndio hawana ila unalipa. Halafu utakuta mtu ana kazi nyingine muziki anaimba tu.
Mfano.
Janguar- anafanya kazi na shirika la kupambana na mihadarati.
Nameless- archtecture
Wahu- mwalimu
Kaka Sungura- mhadhiri wa chuo kikuu
the list is endless maana wengine ni radio/tv presenters ama actresses/actors.
hapo nimekuelewa maana ukiangalia Sie huku majanga matupu!geniveros, sifa tu ndio hawana ila unalipa. Halafu utakuta mtu ana kazi nyingine muziki anaimba tu.
Mfano.
Janguar- anafanya kazi na shirika la kupambana na mihadarati.
Nameless- archtecture
Wahu- mwalimu
Kaka Sungura- mhadhiri wa chuo kikuu
the list is endless maana wengine ni radio/tv presenters ama actresses/actors.
wana akili sana huku kwetu akili hizo hawana hawa wasanii uchwara wamekalia sifa tu!Uko sahihi hata huyo binti anajituma sana kuna picha zake niliziona zinamuonesha akijishughulisha na mambo ya kilimo na ufugajiView attachment 381604View attachment 381605
Yapo mkoani iringahayo matofali yanapatikana wapi bongo jamani
ila hyo ramani sio kiviile