mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Hapa bila shaka unamzungumzia ALI KIBA..!wana akili sana huku kwetu akili hizo hawana hawa wasanii uchwara wamekalia sifa tu!
Huyo Dada ni business woman, mziki part time tu. Aliangukia muzungu akampa mijihela ya kumwaga ndo kuinvest kwenye real estate na Tour busses. Before alikuwa Tax driver MombasaniHv wakenya na waganda mziki wao unawalipa eeehh??maana kidogo majumba mahelcopter hebu nisaidieni mwenzenu
nimempenda kujituma kwake!hapa bongo mijitu inapata hela imachezea tu na show off!!Huyo Dada ni business woman, mziki part time tu. Aliangukia muzungu akampa mijihela ya kumwaga ndo kuinvest kwenye real estate na Tour busses. Before alikuwa Tax driver Mombasani
Ufahari kwa TZ si sawa na ufahari USAMavumbini bana...yaani viwango viko chini sana. Hilo nalo ni jumba la kifahari kweli?
Hebu chekini mambo ya USA...na hizi ni nyumba za kawaida kabisa yaani....
View attachment 381587 View attachment 381588
Nzuri sana!Mavumbini bana...yaani viwango viko chini sana. Hilo nalo ni jumba la kifahari kweli?
Hebu chekini mambo ya USA...na hizi ni nyumba za kawaida kabisa yaani....
View attachment 381587 View attachment 381588
Mkuu nenda youtube utazikutaMwenye nyimbo zake pse
Nipande gari za wapi? Nipo MSAMVU hapa?Mkuu nenda youtube utazikuta
Panda za Kwenda Dar ukifika chukua Ndege ya Kwenda Marekani huko ndo YouTube ilipoNipande gari za wapi? Nipo MSAMVU hapa?
Panda gari za google watakufikisha huko YouTube mkuuNipande gari za wapi? Nipo MSAMVU hapa?
Pia ana kampuni ya usafirishaji, hiyo mama ni mpambanaji sana na sehemu kubwa ya kipato chake kinatokana na biashara zake na si mzikiUko sahihi hata huyo binti anajituma sana kuna picha zake niliziona zinamuonesha akijishughulisha na mambo ya kilimo na ufugajiView attachment 381604View attachment 381605
True mziki anafanya for funny japo unamlipa kwa kumpatia umaarufu.Pia ana kampuni ya usafirishaji, hiyo mama ni mpambanaji sana na sehemu kubwa ya kipato chake kinatokana na biashara zake na si mziki
Sio wote, wengine mateja tu, kama lile Prezoo. Halafu wakenya wanapiga sana show za nje wanapata mialiko mingi ya wekenya US, UK na Canada na baadhi ya nchi za ulaya wakenya ni wengi sana kwny hizo nchiwana akili sana huku kwetu akili hizo hawana hawa wasanii uchwara wamekalia sifa tu!