Mambo haya ya mikataba aliweza barbraAkpan na okwa wamegoma kuondoka, hivyo hakuna nafasi ya kuongeza mchezaji wa kigeni
Akpan aliambiwa arudi kwenye timu yake ya zamani kwa mkopo, amegoma nakusema anabaki kupambania namba la sivyo avunjiwe mkataba.
Okwa nae anadai abaki au avunjiwe mkataba na apewe stahiki zake zote isipungue hata 100
Hoja yako Imeshiba.Hilo Ni SoMo kwa hivi vilabu kutumia vizuri dirisha kubwa la usajili. Siyo lazima kudajili kwa mihemko na si lazima nafasi zote 12 zimezwe na dirisha kubwa. Tujifunze kuweka balance kwa ajili ya dirisha dogo. Pia scouting team wawe makini Sana kabla ya kumrecommend mchezaji flani asajiliwe ili kuondoa hizi ambiguities za kuvunjiana mikataba na kulazimishana kupelekana kwenye mikopo
Aliwezaje wakati yeye ndio aliyehusika na mkataba unaombana Mo sembe.Mambo haya ya mikataba aliweza barbra
Ununue kufuli mwenyewe ulifunge halafu ushindwe kufungua? Bahau weweAliwezaje wakati yeye ndio aliyehusika na mkataba unaombana Mo sembe.
Kama Kambole sio😁Wakaze hapo hapo. Hakuna kulegeza.
[emoji3]Mbona Simba wamesajili leo mchezaji wa kigeni kama hao wamegoma kuondoka?
Aibu yako hiiAkpan na okwa wamegoma kuondoka, hivyo hakuna nafasi ya kuongeza mchezaji wa kigeni
Akpan aliambiwa arudi kwenye timu yake ya zamani kwa mkopo, amegoma nakusema anabaki kupambania namba la sivyo avunjiwe mkataba.
Okwa nae anadai abaki au avunjiwe mkataba na apewe stahiki zake zote isipungue hata 100
Dua la kuku hiloWakaze hapo hapo. Hakuna kulegeza.
Nani aliwalog Simba kwenda kuwanunua wachezaji wa kina Nigeria wale Ni matapeli n wasom fursa wote ,Simba italazimika kuwalipa wahuni vijan wapiga dili na danadana eti wachezajiAkpan na okwa wamegoma kuondoka, hivyo hakuna nafasi ya kuongeza mchezaji wa kigeni
Akpan aliambiwa arudi kwenye timu yake ya zamani kwa mkopo, amegoma nakusema anabaki kupambania namba la sivyo avunjiwe mkataba.
Okwa nae anadai abaki au avunjiwe mkataba na apewe stahiki zake zote isipungue hata 100