Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Huyu dogo alikuwa na kipaji sana. Sana walimwita Messi. Ramadhani Singano. Alipotelea wapi? Anafanya nini kwa sasa?
Kizazi chake katika soka ni akina Mohammed Hussen kama sijakosea. Hawa tunawaona bado. Yeye yu wapi?
Kizazi chake katika soka ni akina Mohammed Hussen kama sijakosea. Hawa tunawaona bado. Yeye yu wapi?