Al Ahly na makocha wa nje

Al Ahly na makocha wa nje

Ituzaingo Argentina

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2020
Posts
1,868
Reaction score
2,191
Al ahly SC ni club pendwa barani afrika, na hata nje ya Afrika, ni klabu inayoongoza kuwa na many fans nchini Misry na hata all afrikans kwa ujumla, ikifuatiwa na Zamalek kisha Raja Casablanca n.k.

Kinachoshangaza timu kama Al ahly why inatumia makocha wa nje, wanakuja kupiga hela tu, wakati hiyo nafasi wangempa kocha mzawa, haiwezekani taifa la mpira kama Misry wasiwepo makocha wazawa, kama mnakumbuka Kocha wa timu ya taifa Hassan shehata enzi zake, jamaa alikua ni professional haswaa, na alikua mkali, achana na hao akina pitsosimane na wazungu wake wanakuja kupiga hela na kusepa.

Ushauri wangu, watumie makocha wazawa, na sio akina pitsosimane na wenzie, kinachowapa advantage hawa makocha ni quality players, mfano huyo pitsosimane, najua wengine watamtetea kwakuwa ni mwafrika, lakini kiuhalisia hakuna kocha hapo, na ni bora amejiondoa mapema kabla hajafukuzwa, tena wamemuonea huruma tu.

Binafsi timu ilikua inambeba, japo sio al ahly ile nayoijua mimi, ilikua timu ya makombe.

Ahsanteni.
 
Hatimaye Wabongo tunaanza sasa kuvuka mipaka ya nchi kwa ujuaji.
Yetu yanatushinda tunaenda kuwapangia waarabu na hela zao..mbona hajasema timu za hapa nyumbani ziachane na kuajiri makocha wakigeni na wachezaji.
 
Al ahly SC ni club pendwa barani afrika, na hata nje ya Afrika, ni klabu inayoongoza kuwa na many fans nchini Misry na hata all afrikans kwa ujumla, ikifuatiwa na Zamalek kisha Raja Casablanca n.k.

Kinachoshangaza timu kama Al ahly why inatumia makocha wa nje, wanakuja kupiga hela tu, wakati hiyo nafasi wangempa kocha mzawa, haiwezekani taifa la mpira kama Misry wasiwepo makocha wazawa, kama mnakumbuka Kocha wa timu ya taifa Hassan shehata enzi zake, jamaa alikua ni professional haswaa, na alikua mkali, achana na hao akina pitsosimane na wazungu wake wanakuja kupiga hela na kusepa.

Ushauri wangu, watumie makocha wazawa, na sio akina pitsosimane na wenzie, kinachowapa advantage hawa makocha ni quality players, mfano huyo pitsosimane, najua wengine watamtetea kwakuwa ni mwafrika, lakini kiuhalisia hakuna kocha hapo, na ni bora amejiondoa mapema kabla hajafukuzwa, tena wamemuonea huruma tu.

Binafsi timu ilikua inambeba, japo sio al ahly ile nayoijua mimi, ilikua timu ya makombe.

Ahsanteni.
Afu utakuta mtoa post ni dogo wa form one
 
Pitso kachukua Mara 3 champion league arafu sio kocha unakili ww

arafu ndio nini?

Kwa wachezaji alionao atashindwaje kubeba! Hata wewe ungepewa ungechukua vikombe, japo sio al ahly ile tunayoijua ilikua timu ambayo uhakika wa kushinda. Sema kwakua ni mtu mweusi atatetewa kwa nguvu zote.
 
Unatafuta kupewa maneno machafu tu wewe huna lolote.

Maneno machafu kisa kumtaja pitso!! Angelikua mtu mweupe ungethubutu kuweka hii comment!! Kuna baadhi imewauma sana kwa pitso kusepa 😄 poleni sana, acha arudi kwa madiba hatumtaki al ahly.
 
Yetu yanatushinda tunaenda kuwapangia waarabu na hela zao..mbona hajasema timu za hapa nyumbani ziachane na kuajiri makocha wakigeni na wachezaji.

Hatupangiani cha kupost, azinsha tu mada yako mkuu.
 
Back
Top Bottom