Al Ahly na umahiri wao wana viporo saba, ni mbinu za kuisaidia kimataifa?

Al Ahly na umahiri wao wana viporo saba, ni mbinu za kuisaidia kimataifa?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Ni tofauti na kwetu ukiwa na viporo ukimaliza ratiba ya kimataifa unapangiwa mechi 4 mfululizo kila baada ya siku mbili

1710255930853.png
 
Asec Mimosa alivyoenda kukutana na Simba kule Ivory Coast unajua story ilikuwa vipi?

Story ilikuwa Simba ataenda kupata advantage kubwa kwenye mechi kwasababu Asec Mimosa hajacheza mechi ya ushindani kwa muda mrefu.

Sasa naposoma hii mada yako najikuta njia panda mashindwa kuelewa kwanini upande fulani timu ikisipocheza mechi za ushindani inakuwa na advantage ya kuandaliwa ubingwa

Na upande Fulani tena timu ikisipocheza mechi za ushindani inakuwa haina fitness ya kuweza ku perfom vizuri kwenye mechi kubwa.
 
Asec Mimosa alivyoenda kukutana na Simba kule Ivory Coast unajua story ilikuwa vipi?

Story ilikuwa Simba ataenda kupata advantage kubwa kwenye mechi kwasababu Asec Mimosa hajacheza mechi ya ushindani kwa muda mrefu.

Sasa naposoma hii mada yako najikuta njia panda mashindwa kuelewa kwanini upande fulani timu ikisipocheza mechi za ushindani inakuwa na advantage ya kuandaliwa ubingwa

Na upande Fulani tena timu ikisipocheza mechi za ushindani inakuwa haina fitness ya kuweza ku perfom vizuri kwenye mechi kubwa.
We jamaa uko kichwani hamnaga kitu
Asec anakutana na simba ana miezi miwili hakucheza mechi yeyote ile hata ya kirafiki

Swali nikuulize al ahaly ana miezi miwili hajacheza mechi yeyote ile
 
We jamaa uko kichwani hamnaga kitu
Asec anakutana na simba ana miezi miwili hakucheza mechi yeyote ile hata ya kirafiki

Swali nikuulize al ahaly ana miezi miwili hajacheza mechi yeyote ile
Weka hoja mezani

Asec kutocheza mechi kwa muda huo kunaipa advantage au disadvantage?
 
Back
Top Bottom