Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko mbali sana na ulimwengu wa soka mkuu. Ligi ya Misri haikukamilika kwa wakati hivyo shirikisho la soka misri wakapeleka matokeo ya msimu uliyopita. Hivyo Al Ahly kaishapangwa kwenye michezo ya klabu bingwaHali si shwari kwa ndugu zetu Al ahly kwenye ligi ya Misri kwani badi sasa wanashika nafasi 3 huku ligi ikielekea ukingoni. Kwa hali ilivyo kunauwezekano wakaikosa CAF CHAMPIONS LEAGUE. Msimamo wa ligi ndo km mnavyoona hapo chini.View attachment 2329055
Walishapangwa kucheza klabu bingwa kwani waliangalia msimamo wa round ya kwanza wa ligi ndomana sahivi wao wanachezs timu ya akiba maana kama wana mgomo flani hiviHali si shwari kwa ndugu zetu Al ahly kwenye ligi ya Misri kwani badi sasa wanashika nafasi 3 huku ligi ikielekea ukingoni. Kwa hali ilivyo kunauwezekano wakaikosa CAF CHAMPIONS LEAGUE. Msimamo wa ligi ndo km mnavyoona hapo chini.View attachment 2329055
Walisema wakipelekwa wataenda cad lakini washapelekwaWanaikosaje wakati washa pangwa champions League angalia ratiba wamepewa viti maalumu
Uko mbali sana na ulimwengu wa soka mkuu. Ligi ya Misri haikukamilika kwa wakati hivyo shirikisho la soka misri wakapeleka matokeo ya msimu uliyopita. Hivyo Al Ahly kaishapangwa kwenye michezo ya klabu bingwa View attachment 2329106
Asante kwa kuniweka sawaSio matokeo ya msimu uliopita ni matokeo ya round ya kwanza
Tarehe ya CAF ya kuwakilisha majina ya timu shiriki ilishapita huku ligi ya Egypt ikiwa bado mechi 10. Hivyo chama cha Soka Egypt walimua tu kutuma majina ya washindi wa mzunguko wa kwanza wa ligi. Hali hii imeleta makasiriko sana kwa timu ya wananchi ya Pyramid wakimlalamikia Karia wa kule Egypt.Wanaikosaje wakati washa pangwa champions League angalia ratiba wamepewa viti maalumu
Aisee!!Hali hii imeleta makasiriko sana kwa timu ya wananchi ya Pyramid wakimlalamikia Karia wa kule Egypt.
Karia wa Egypt[emoji115][emoji23][emoji28][emoji125][emoji125][emoji125]Hali hii imeleta makasiriko sana kwa timu ya wananchi ya Pyramid wakimlalamikia Karia wa kule Egypt.
Bado round tatu ligi yao iishe, Zamalek anahitaji pointi mbili tu awe bingwa.
Uko mbali sana na ulimwengu wa soka mkuu. Ligi ya Misri haikukamilika kwa wakati hivyo shirikisho la soka misri wakapeleka matokeo ya msimu uliyopita. Hivyo Al Ahly kaishapangwa kwenye michezo ya klabu bingwa View attachment 2329106
...😆😆😆Hali hii imeleta makasiriko sana kwa timu ya wananchi ya Pyramid wakimlalamikia Karia wa kule Egypt.