Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Kwahiyo kwenye ile mechi atakuwepo?Unapozungumzia Uwekezaji katika SOKA ndiyo huu, ili uweze kuwa bora na imara ni lazima utafute wachezaji wa kukufikisha huko. Timu ya AL Ahly ya nchini Misri imeamua kufanya hivyo kwa kumdaka Mshambuliaji wa Kimataifa wa Ufaransa Anthony Modeste aliyekuwa akikipiga kunako Timu ya Dortmund ya UJERUMANI kwa mkataba wa mwaka mmoja. Modeste anajiunga na AL AHLY kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kutamatika pale Dortmund.
.
.
.
.
#solomatv_updates View attachment 2746597
Lakini unamjua vizuri huyu mwamba... Wazee wa mikeka nazani wanajua ni balaa dakika za mwiiiisho ndo hua anafanya yakeHuyu Mzee kabisa, ila atatufunga nyingi Kwa kuwa afrika class yetu ya wachezaji siyo kubwa kihivyo.
Wee usimalize maneno...alivokua fc koln alikua balaa...huko Dortmund imetokea tu mfumo hauko upande wake..subir uone mvua ya magoli atakayoshusha akiwa Al ahlyHuyu hana tofauti na Bocco
AahaaaaaKwahyo simba mavi yatawabana au
Kwahyo simba mavi yatawabana au
Hahaha noma kweli kwahyo itakua ngoma drooVIONGOZI WA Yanga wote Wana...
KWENYE pichu ZAO.
Yanga vs costal Arusha.