Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Hilo jitu linaweza kufa hamsa tenaLinaenda kufa jitu
Chomoa taratibuHilo jitu linaweza kufa hamsa tena
Ahaaaa!Linaenda kufa jitu
Ahmed Ally au Semaji la CAF lilisema hata bia imeandikwa hairhuhusiwi kwa walio chini ya miaka kumi na nane. πΈWanateseka sana.πππVyura hawalali, usiku kucha wanaweweseka na na timu iliyobarikiwa na MUNGU na kupendwa sana na CAF Huku FIFA wakitamani mnyama SIMBA angekuwa anatokea barani ulaya ingependeza sana kutokana na kutandaza pira biriani na pira manyanyaso kwa timu zinazokanyaga pale kwa mkapa, na hii imepelekea CAF kwa fweza zao wenyewe waukarabati ule uwanja ili waone na wafurahie mateso na manyanyaso makubwa kwa timu kutoka njenje ya nchi zitakazo tia miguu pale lupaso, especialy
Al ahly
Wydad
Mamelod na wakubwa wengine,
Saivi hatuzungumzi na uto, tupo juu mawinguni.
Simba kweli ni timu kubwa, nimejiuliza mara nyingi sipati majibu hivi ni lini timu nyingjne ya Tz ilicheza na bingwa Mtetezi wa Club Bingwa ya Afrika kama Al Ahly na Wydad? Tuache ushabiki maandazi jamani tuzungumzie uhalisia hii Simba haikufika hapo kwa bahati mbaya ilipambana.Ahmed Ally au Semaji la CAF lilisema hata bia imeandikwa hairhuhusiwi kwa walio chini ya miaka kumi na nane. [emoji196]Wanateseka sana.[emoji23][emoji23][emoji23]
Simba kweli ni timu kubwa, nimejiuliza mara nyingi sipati majibu hivi ni lini timu nyingjne ya Tz ilicheza na bingwa Mtetezi wa Club Bingwa ya Afrika kama Al Ahly na Wydad? Tuache ushabiki maandazi jamani tuzungumzie uhalisia hii Simba haikufika hapo kwa bahati mbaya ilipambana.Ahmed Ally au Semaji la CAF lilisema hata bia imeandikwa hairhuhusiwi kwa walio chini ya miaka kumi na nane. [emoji196]Wanateseka sana.[emoji23][emoji23][emoji23]
Aahaaaa,na life tuHilo jitu linaweza kufa hamsa tena
Vyura kama mabamedi ni hela yako tu.... [emoji599] βΊβΊ πΌπ πΌπππ - πΌππππππΌ
Hapa sio Egypt [emoji1093], ni Austria [emoji1038]
Mashabiki wa klabu ya Al-Ahly wakifuatilia timu yao ambayo iko Nchini Austria [emoji1038] kwenye pre-season.
Full β [emoji1093] Al-Ahly 3 - 1 Aluminij [emoji1218]
Hii ndiyo inaitwa 'πΌππππ ππππ'[emoji119]
View attachment 2740364View attachment 2740365View attachment 2740366
Wakati Yanga anamfunga Al-Ahly kwa Mkapa na kwenda kutolewa kwa matuta Egypt ulikuwa bado unanyonya?Simba kweli ni timu kubwa, nimejiuliza mara nyingi sipati majibu hivi ni lini timu nyingjne ya Tz ilicheza na bingwa Mtetezi wa Club Bingwa ya Afrika kama Al Ahly na Wydad? Tuache ushabiki maandazi jamani tuzungumzie uhalisia hii Simba haikufika hapo kwa bahati mbaya ilipambana.
Inawezekana Mkuu, ila inaweza kuwa miaka si chini ya ishirini iliyopita na Al-Ahly sidhani kama alikua defending champion!Wakati Yanga anamfunga Al-Ahly kwa Mkapa na kwenda kutolewa kwa matuta Egypt ulikuwa bado unanyonya?