njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
bonge la keeper hilo sema tu leo linacheza dhidi ya team bora sana kwa sasa hapa AfrikaKipa pazia
Bongo ukifanikiwa unachukiwa wazi waziHuyu Kipa mbona magoli mengine huwa anajifunga mwenyewe?. Hamna kitu hapo. Wamchukue Morson tu.
Afrika au Afrikasana , sijaelewa.bonge la keeper hilo sema tu leo linacheza dhidi ya team bora sana kwa sasa hapa Afrika
Umeanza vizuri ukamalizia kwa pumba.bonge la keeper hilo sema tu leo linacheza dhidi ya team bora sana kwa sasa hapa Afrika
nina connection kubwa sana nchi mbalimbaliHabari zako unazitoa wapi?
Mfano mzuri ni Fiston MayeleBongo ukifanikiwa unachukiwa wazi wazi
Mayele amefanikiwa?Mfano mzuri ni Fiston Mayele
kujifunga? Ndiyo walivyokubaliana na Mavunde kuhakikisha Utopolo inawin ile game.Huyu Kipa mbona magoli mengine huwa anajifunga mwenyewe?. Hamna kitu hapo. Wamchukue Morson tu.
Kama ile ya Fei toto kakolanya aliacha makusudi tu ila angeamua angedakakujifunga? Ndiyo walivyokubaliana na Mavunde kuhakikisha Utopolo inawin ile game.