Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
El Merreikh leo wanaangazia kujaribu kurudisha tumaini baada ya kupoteza michezo yake miwili ya kwanza ikiwemo mchezo wa nyumbani.
Simba ikiwa imeshinda michezo yake miwili ya kwanza na kuongoza kundi, leo inataka kuweka mguu mmoja kuelekea kufuzu hatua ya makundi kwa kuifunga El Merrikh.
Kuwa nami kukujuza yatakayojiri Sudan
========
00' Mwamuzi anapiga filimbi kuashiria mwanzo wa mchezo
11' Mabadiliko kwa upande wa El Merrikh, Ramadan Agaba anaingia baada ya kuumia Hamza Daud
13' Simba wanajaribu kucheza pasi nyingi kuelekea lango la Al Merrikh lakini beki anatibua mpango wao
18' Almanusura Al Merrikh waandike bao la kwanza baada ya faulo maridadi kumkuta mchezaji wa Al Merrikh na kupiga kichwa kilichoenda nje kidogo ya goli
25' Ramadhan Agabu wa Al Merrikhanapiga kichwa mpira uliotokea kona lakini unagonga mwamba
27' Tony anajaribu kupiga shuti kuelekea lango la Simba lakini Benn Kakolanya anaukamata barabara
37' Mugalu anawekwa chini, mpira wa adhabu kuelekea Al Merrikh
38' Chama anapiga free kick lakini mlinda mlango anaudaka na kulala chini kuashiria kuumia
45' Bwalya anapiga shuti kali lakini unakwenda nje kidogo ya lango
45+1' Mpira mapumziko, Al Merreikh 0-0 Simba
46' Mpira umesharejea kutoka mapumziko
48' Kadi ya njano kwa Shomari Kapombe baada ya kuangusha Tony wa Al Merrikh
60' Mabadiliko upande wa Simba, Dilunga anachukua nafasi ya Bwalya na Nyoni anaingia kuchukua nafasi ya Mzamiru Yassin
72' Al Merrikh wanapata kona pacha lakini zote zinashindwa kuzaa matunda
76' Franscis Kahata anaingia kuchukua nafasi ya Chama
77' Lwanga kadi ya njano
88' Meddie Kagere anachukua nafasi ya Mugalu
90+4' Mpira umekwisha, Al Merrikh 0-0 Simba
Simba ikiwa imeshinda michezo yake miwili ya kwanza na kuongoza kundi, leo inataka kuweka mguu mmoja kuelekea kufuzu hatua ya makundi kwa kuifunga El Merrikh.
Kuwa nami kukujuza yatakayojiri Sudan
========
00' Mwamuzi anapiga filimbi kuashiria mwanzo wa mchezo
11' Mabadiliko kwa upande wa El Merrikh, Ramadan Agaba anaingia baada ya kuumia Hamza Daud
13' Simba wanajaribu kucheza pasi nyingi kuelekea lango la Al Merrikh lakini beki anatibua mpango wao
18' Almanusura Al Merrikh waandike bao la kwanza baada ya faulo maridadi kumkuta mchezaji wa Al Merrikh na kupiga kichwa kilichoenda nje kidogo ya goli
25' Ramadhan Agabu wa Al Merrikhanapiga kichwa mpira uliotokea kona lakini unagonga mwamba
27' Tony anajaribu kupiga shuti kuelekea lango la Simba lakini Benn Kakolanya anaukamata barabara
37' Mugalu anawekwa chini, mpira wa adhabu kuelekea Al Merrikh
38' Chama anapiga free kick lakini mlinda mlango anaudaka na kulala chini kuashiria kuumia
45' Bwalya anapiga shuti kali lakini unakwenda nje kidogo ya lango
45+1' Mpira mapumziko, Al Merreikh 0-0 Simba
46' Mpira umesharejea kutoka mapumziko
48' Kadi ya njano kwa Shomari Kapombe baada ya kuangusha Tony wa Al Merrikh
60' Mabadiliko upande wa Simba, Dilunga anachukua nafasi ya Bwalya na Nyoni anaingia kuchukua nafasi ya Mzamiru Yassin
72' Al Merrikh wanapata kona pacha lakini zote zinashindwa kuzaa matunda
76' Franscis Kahata anaingia kuchukua nafasi ya Chama
77' Lwanga kadi ya njano
88' Meddie Kagere anachukua nafasi ya Mugalu
90+4' Mpira umekwisha, Al Merrikh 0-0 Simba