Kwani mnacheza na Yanga?Beno kiukweli anataka kuwapa vimaneno yanga
Link
Link haifanyi Kazi hii ? Msaada wa online link
kaumiaDaah hawa majamaa wanafanya sub dk ya 12?
Hawa jamaa wanajua sema tu hawajiaminiMashambulizi ya kustukiza kama haya ndio tunayo yataka
ndio starehe zilizobaki kwa Utopolo,hamna namna zaidi ya kuangalia Simba scWekeni link basi nyie mikia tuangalie mechi tulio mbali na tivii