Al Merrekh 0-0 Simba | Al Hilal Stadium | CAF

Jamani wengine tuko polini huku redio zenyewe wanatangaza kama hawataki vile mitangazooo kibaoooo tupeni update jamani
 
hii anga nyeupe watu tumepita anga zilizo mezwa na moshi wa matairi yaliyo chomwa iwe anga hii

anga gani hizi babu wawa kachanuliwa msamba kaishia kushika mmeokolewa na mahaba ya refa.
Mpira unamuheshimu fundi
 
Haya sasa chekeni mambo ya luis hayo jamani
 
nani anacheza kimabavu zaidi ya simba

jamaa sema wana hamu ya kupata goli na angalau wapate point 3 ko wanajituma sana
Wewe mshabiki sana

Hawa jamaa wanatuchezea rafu kila tukiwa na mpira
 
Mugalu kachezewa foul refa weka penat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…