Al Merrekh 0-0 Simba | Al Hilal Stadium | CAF

badala uloge unamuomba MUUMBA

leo ndo nimeamini hadi walozi wanakuwa(ga)na hofu

Mungu wajaalie wasudani washinde mechi hii
Hizi nguvu zinaenda pamoja manyanga pamoja na Mungu..hivyo Mungu atayasikia haya maombi
 
Hasan dilunga anaingia, mzamiru naye natoka anaingia nyoni
 
Bwalya anatakiwa kutoka leo hayuko vizuri, aingie Dilunga akaongeze kasi pale mbele ama kahata, hata hivyo Mzamiru leo pia hajakaa sawa inge faa sana akaingia mkude.

Luis kila akigusa mpira watu 3 hadi 4 tayari wesha fika.
Done!
 
Al marreikh wamekuja ku press tu hii Second half.
 
Wafanye maajabu tusitobolewe kama akina nani.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…