Al-Qaeda Threatens Obama's Grandmother in Kenya.

nifahamuvyo mimi hao waitwao 'magaidi' huwa na strategy moja tu kwenye mapambano yao. kuhakikisha wanafanya shambulio ambalo litasababisha coverage kubwa. coverage ndo inayowatangaza na kufanikisha malengo yao. sishangazwi hata kidogo kama al shabab wataamua kumfuata huyu bibi. kwao sio kumuua huyo bibi la hasha. kwao ni publicity itakayofuata baada ya kumuua ndo inayo-matter. bibi wa watu wala hawana shida nae lakin ili agenda yao (iwe hasira, revenge au chochote) kiwafikie maadui na marafiki (sympethisers) zao anaweza kuwa target nzuri sana.
 


satanic verses
 
Hapa ndio magaidi wanaponishangaza badala ya kwenda kuwapiga askari wa marekani wao wanatafuta watoto,vibibi na watu ambao hawataweza kupambana nao. Sasa huyu bibi ndiye aliyetuma wae Navy SEALs wakamwue Osama?
Ukiangalia hiyo habari yenyewe kwenye ABC ni usanii mtupu kama kifo cha Osama wa Abbottabad lakini mandondocha wa JF wameshakwenda mbali kama kwamba hilo tukio limetokea,na wala hawahoji limeanzaje.Almuradi ni undondocha tu...
Hebu angalieni wenyewenu hapa:
Security has been increased around the home of President Barack Obama's step-grandmother in Kenya after an African al Qaeda branch issued a personal threat against her, police said today
Tawi la Alqaeda la Africa limetokea wapi?.Hilo tishio lao limepatikana wapi?.Ni Alshabbab au ni Alqaeda Africa branch?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…