Al Shabaab waendelea kuvuka mpaka na kuwaua Wakenya

Al Shabaab waendelea kuvuka mpaka na kuwaua Wakenya

Mapambano na magaidi ni magumu duniani kote hata marekani anakimbiaga sana , sioni hoja ya kufurahia kisa wameuliwa wakenya na Alshaabab, na kufurahia matatizo ya binadamu mwenzako ni watu wenye uwezo mdogo kiakili ndio hufanya hivo, hata wakenya wanaofurahia matatizo ya watanzania hua na akili ndogo pia.
 
Mapambano na magaidi ni magumu duniani kote hata marekani anakimbiaga sana , sioni hoja ya kufurahia kisa wameuliwa wakenya na Alshaabab, na kufurahia matatizo ya binadamu mwenzako ni watu wenye uwezo mdogo kiakili ndio hufanya hivo, hata wakenya wanaofurahia matatizo ya watanzania hua na akili ndogo pia.
Punguza ujuaji kidogo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mapambano na magaidi ni magumu duniani kote hata marekani anakimbiaga sana , sioni hoja ya kufurahia kisa wameuliwa wakenya na Alshaabab, na kufurahia matatizo ya binadamu mwenzako ni watu wenye uwezo mdogo kiakili ndio hufanya hivo, hata wakenya wanaofurahia matatizo ya watanzania hua na akili ndogo pia.

Tanzania tumewaweza magaid! Au umesahau nikukumbushe?
 
Back
Top Bottom