Al-Shabab washambulia vituo vya Polisi Somalia, wasababisha vifo

Al-Shabab washambulia vituo vya Polisi Somalia, wasababisha vifo

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Wanamgambo wa Al-Shabab wameshambulia vituo vya polisi na vituo vya ukaguzi katika Mji Mkuu wa Somalia, Mogadishu, mapema leo Jumatano Februari 16, 2022.

Imeelezwa kuwa watu kadhaa wamepoteza maisha na wengine 16 wamejeruhiwa. Televisheni ya taifa imeripoti kuwa watu watano wamefariki katika tukio hilo wakiwemo watoto wawili.

FLtjNvjXEAECKEt.jpg

imrs.jpg
 
Hawa jamaa ni wapumbavu sana. Wanapata faida gani kuharibu nchi yao?
 
Bora usingerudi,,,nimeomba aya unarukaruka tuuu.


Naomba aya mzee
Aya ya Nini? Wewe umesema hawana hatia,je umejuaje Kama hawana hatia? Kama wewe unaona hawana hatia Basi Al-shabab wao wañaona wanahatia na ndio maana wamewaua kwa mjibu wa Maandiko matakatifu ndani ya Quran.
 
Aya ya Nini? Wewe umesema hawana hatia,je umejuaje Kama hawana hatia? Kama wewe unaona hawana hatia Basi Al-shabab wao wañaona wanahatia na ndio maana wamewaua kwa mjibu wa Maandiko matakatifu ndani ya Quran.

"Wamewauwa kwa mujibu wa maandiko matakatifu ndani ya Qur'an" OKay, aya ipi hiyo inahalalisha kuuwa waco na hatia!!!, Leta hiyo aya, maana ushasema kwamba "dini inaruhusu"



Nasubiri ewe naswara/yahudi
 
"Wamewauwa kwa mujibu wa maandiko matakatifu ndani ya Qur'an" OKay, aya ipi hiyo inahalalisha kuuwa waco na hatia!!!, Leta hiyo aya, maana ushasema kwamba "dini inaruhusu"



Nasubiri ewe naswara/yahudi
Wewe aliyekwambia waliouawa hawana hatia ni Nani? Hawana hatia kwa mjibu wa kichwa chako au Cha Al-shabab wenye Dini yao na wanaojua maandiko kuliko wewe MLA Alikasusu?
 
Wewe aliyekwambia waliouawa hawana hatia ni Nani? Hawana hatia kwa mjibu wa kichwa chako au Cha Al-shabab wenye Dini yao na wanaojua maandiko kuliko wewe MLA Alikasusu?

Bado hujajibu swali langu,,,ictoshe alshabab wanachofanya co sahihi.

In sha Allah nitakuretea aya inayokataza/halalisha
 
Back
Top Bottom