Makedha Senior Member Joined Sep 24, 2010 Posts 167 Reaction score 53 May 6, 2011 #1 Nataka kuanzisha thread came ile kuhusu maneno za kiswahili zinazohusu technolojia (=> https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-lugha/128274-technolojia-na-kiswahili.html ) , lakini sasa unatakiwa kutoa jina ya ala za muziki kwa kiswahili. Najua tayari kuwa: Flute = Filimbi Ngoma = Drum But this is it... Natamani kujifunza ala za muziki zaidi kwa kiswahili (na hasa tafsiri ya "piano" na "violin") Ikiwa unajua tafsiri zaidi, uzitoe hapa tafadhali.
Nataka kuanzisha thread came ile kuhusu maneno za kiswahili zinazohusu technolojia (=> https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-lugha/128274-technolojia-na-kiswahili.html ) , lakini sasa unatakiwa kutoa jina ya ala za muziki kwa kiswahili. Najua tayari kuwa: Flute = Filimbi Ngoma = Drum But this is it... Natamani kujifunza ala za muziki zaidi kwa kiswahili (na hasa tafsiri ya "piano" na "violin") Ikiwa unajua tafsiri zaidi, uzitoe hapa tafadhali.
mtemiwaWandamba JF-Expert Member Joined May 2, 2011 Posts 561 Reaction score 223 May 17, 2011 #2 piano=Kinanda,marimba Violin=