Ala Za Muziki

Makedha

Senior Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
167
Reaction score
53
Nataka kuanzisha thread came ile kuhusu maneno za kiswahili zinazohusu technolojia (=> https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-lugha/128274-technolojia-na-kiswahili.html ) , lakini sasa unatakiwa kutoa jina ya ala za muziki kwa kiswahili.

Najua tayari kuwa:

Flute = Filimbi
Ngoma = Drum

But this is it...

Natamani kujifunza ala za muziki zaidi kwa kiswahili (na hasa tafsiri ya "piano" na "violin")

Ikiwa unajua tafsiri zaidi, uzitoe hapa tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…