ALAF Tanzania, mnatumia kigezo gani kupandisha bei za bati zenu

ALAF Tanzania, mnatumia kigezo gani kupandisha bei za bati zenu

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Wadau kama kichwa cha habari kisemavyo. Nimekutana na hii scenario nikabigwa na bumbu wazi
Nilowahi kupiga simu huduma kwa wateja ALAF nikaulizia bei za bati zao nika note kisha nika andaa mahesabu yangu ya paa langu

Ikapita wiki 2 nikaenda pale kiwandani kwao nikiwa na nia ya kununua mzigo, kufika pale bati za Maxcover nikatajiwa bei tofauti na niliyo tajiwa kwenye simu na CS, nikauliza mbona bei ime shoot
Wale agents wakasemma ni kawaida bei hubadilika karibu kila mwezi

Hivi nikajiuliza ni sababu gan inayowapelekea bei zao kubadilika badilika ? Hasa bati za Max cover,, versatile na romantile ? Embu wadau kamaa mlishawahi kutana na case kama hii
 
Hawa jamaaa maana wanauza kwa bundle
 
hawa jamaa wanauza bei sana bati. Juzi nauliza cover max G 30 naambiwa ni elfu 35 Bati la mita 3 na nyumba inahitaji bati 220 yani hapo ndo unaweza ezeka nyasi
 
hawa jamaa wanauza bei sana bati. Juzi nauliza cover max G 30 naambiwa ni elfu 35 Bati la mita 3 na nyumba inahitaji bati 220 yani hapo ndo unaweza ezeka nyasi
Ukichukua za kupima ambazo ninalmost 12000 kwa mita moja, ambapo mara ya mwisho mm niliulizwa nikaambiwa bei iyo
 
Back
Top Bottom