Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
- Thread starter
-
- #401
ivi kwanni wanaume hampendagi mbwembwe z maweaving jaman..kidg kubadilika ati...Yeah nilipo sema za asili nilikuwa na maanisha sio ..weaving .wig.au rasta zile za kichina(human maid)... hilo suala la kuwa na dawa .. haliondoi u-natural wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina hakika Sana kama wanaume wote tuko hivyo ".. ila binafsi yangu huwa sipendi mwanamke anaye jinanga nanga sana " ... but haimaanishi kwamba akivaa ma-weaving sinto mfurahia "H
ivi kwanni wanaume hampendagi mbwembwe z maweaving jaman..kidg kubadilika ati...
Haha ... unakuwa una hofu " inaelekea unaugonjwa wa kupenda wana wake wazuri sana"..... Mara nyingi hiyo hali huwa kuwa wanaume wenye tabia hizo" Haswaa tabia hiyo huwa inachukua nafasi endapo ukiwa na hali ya uchumi wa kawaida halafu upo in luv na mwanamke mzuri sana ...Duh..huwa ninatatizo nikimpenda mtu kutoka moyoni namuogopa, ngoja nijipange nione naanzaje aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina hakika Sana kama wanaume wote tuko hivyo ".. ila binafsi yangu huwa sipendi mwanamke anaye jinanga nanga sana " ... but haimaanishi kwamba akivaa ma-weaving sinto mfurahia "
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol kumbe !!!! Halafu kwa mbali naona kama una brown eyes hivi !!wanaume wenΔ£i mpo hvyo
mhhhhgLol kumbe !!!! Halafu kwa mbali naona kama una brown eyes hivi !!
Sent using Jamii Forums mobile app
meusi km ya Tulia .
Bado hujapata suluhishoHabari zenu wanawake wenzangu..
Hivi hizi alama za brazia huwa inawezekanika kutoka kweli? naamanisha zile sehemu inayopita brazia..inaacha mark mno jaman..nimeanza jichukia
Je kuna dawa yyt au mafuta yyt yanayoweza kusaidia kutoa!?yaan inafikia hatua unashindwa kuvaa backdress..au nguo zifananazo ..kama offshoulder!sio mabegani tu ni had huku mgongoni...itafikia kipindi ht kwenda beach tutaogopa..!hebu nataka jua na nyie zinawatokea..at first nilikua nalala na bra.. (mazoea mabaya)sasa hv nimeacha ila alama bado tu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]!
cc.
Nalendwa ,Shunie espy Heaven Sent Meeyah !
π€π€π€Acha Tuone Alama Kwa Hisia
weee