Alama hizi za bra zinatokaje?

Duh..huwa ninatatizo nikimpenda mtu kutoka moyoni namuogopa, ngoja nijipange nione naanzaje aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha ... unakuwa una hofu " inaelekea unaugonjwa wa kupenda wana wake wazuri sana"..... Mara nyingi hiyo hali huwa kuwa wanaume wenye tabia hizo" Haswaa tabia hiyo huwa inachukua nafasi endapo ukiwa na hali ya uchumi wa kawaida halafu upo in luv na mwanamke mzuri sana ...

Ijapo kuwa sio wanaume wote huwa wanafikwa na hiyo hali lakini ni wachache

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado hujapata suluhisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si mvae nguo msivae kwani shida iko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…