Alama hizi za bra zinatokaje?

Usife jomoniii,.unipe eksipiriensi day one ilikuwaje honeymoon๐Ÿ˜‚๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿ‘Œ


hahahhaa nilishinda nalia tu siwez kitu..nikiona dyudyu la yuyu nazmia kbs yaan๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚kuishika ndo natapika kbs๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..ni bora ubatizo wa moto my dear ..usijaribu ss from there kila sk unataabisha kiuno chako
 
hahahhaa nilishinda nalia tu siwez kitu..nikiona dyudyu la yuyu nazmia kbs yaan๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚kuishika ndo natapika kbs๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..ni bora ubatizo wa moto my dear ..usijaribu ss from there kila sk unataabisha kiuno chako
Unantishaa tuuu mfyuuuu๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ na walioachangia wengi ni mamen ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ dadeq..had unabak unastaajabu
cyo kustaajabu tuu jiulize wamejulia wapi na wanajuaje namna ya ku solve hilo tatizo .............kweli ccm haitaacha mtu salama
 
Daah Ulikua Unalala Na Bra ? Polee Sana
Kama Matiti makubwa Usivae mara kwa mara sile za Kuboost
Punguza Pia Muda Wa Kuvaa Izo
Cha Mwishoo JIKUBARI
 
Daah Ulikua Unalala Na Bra ? Polee Sana
Kama Matiti makubwa Usivae mara kwa mara sile za Kuboost
Punguza Pia Muda Wa Kuvaa Izo
Cha Mwishoo JIKUBARI


Nimepunguza sana hata muda huu sijavaa..๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š...naona matokeo sio mabaya sana..Ile ilivyokuwa ni ngumu kujikubali ilinichonga kba mabegani humu na mgongoni..khaa
 
Yaani acha tu hii awamu 5. Itachoreka mpaka ya pichu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ