Hiyo alama pia inamuhuru rais wetu (kichaa)Aahaha ... Ndo maana kuna jamaa juzi aliponiona navuka hafu kuna hiyo alama ... Alisimamisha gar na akarud nyuma
Aaha sure wameiweka pale ikulu ... Juzi nlivyoenda kuposa jesca. ..nliionaHiyo alama pia inamuhuru rais wetu (kichaa)
Shukrani mkuu, nimewaza kweli sijawahi iona road.
Pale mbele getiniAaha sure wameiweka pale ikulu ... Juzi nlivyoenda kuposa jesca. ..nliiona
Eeh mkuu dah ... Yule jamaaPale mbele getini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Inaonekana wengi humu ndani sio watafiti...the joke is lost. See belowHiyo ya barabara kuwa na traffic iko Tanzania?
Sumbawanga katav kila km 5 mpaka 7 trafk wameshindwa kukaa tu mbuganiSijapita hiyo njia na private car, lakini njia ya Morogoro kwenda Iringa hadi Mbeya nimepita sana sijaiona, na traffic ni wa kumwaga.
Mbona siioni
Hahahaha! Alama niliyokutumia huioni ila umeweza kusoma post yangu kuwa ipo!πππMbona siioni
Post anansomea swaleheHahahaha! Alama niliyokutumia huioni ila umeweza kusoma post yangu kuwa ipo!πππ
Hvi kwan tunaongelea nn hapaHahahaha! Alama niliyokutumia huioni ila umeweza kusoma post yangu kuwa ipo!πππ
Tahadhari juu ya walemavu wa akili ambao mara nyingi wanakuwa barabaraniπHvi kwan tunaongelea nn hapa
Anhaa nkajua tunaongelea noah zetuTahadhari juu ya walemavu wa akili ambao mara nyingi wanakuwa barabaraniπ
Tunaita eneo lenye "walemavu wa akili" ....watu wasio na akili timamu sio kauli nzuri.Wadau na mimi nisaidieni kujua maana ya hiyo alama ya kulia kichwa kilichopitiwa na mstari mwekundu.. kwa tafsiri nilifikiri ni sehemu ya watu wasio na akili timamu kuwa na tahadhari..
Nahitaji kujua.
Mkuu hivi mwalimu akiniambia define mlemavu wa akili nitasemaje, sio mtu asiye na akili timamu? Nitakuwa nimekosea?Tunaita eneo lenye "walemavu wa akili" ....watu wasio na akili timamu sio kauli nzuri.
I say basi huko hizi alama zinahitajika sana.Sumbawanga katav kila km 5 mpaka 7 trafk wameshindwa kukaa tu mbugani