Kijuram
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 513
- 374
Jambo wa JF,
Siku hizi matokeo ya mtihani wa darasa la saba yanapotoka yanaonyesha grade aliyopata mwanafunzi kwa kila somo, yani A, B+, B, n.k. Naomba wana JF wanaofahamu wanifahamishe hizi grade wanazigroup vipi kulingana na alama? Yani "A" inaanzia ngapi, "B" inaanzia alama ngapi na kuishia ngapi n.k.
Natanguliza shukrani.
Siku hizi matokeo ya mtihani wa darasa la saba yanapotoka yanaonyesha grade aliyopata mwanafunzi kwa kila somo, yani A, B+, B, n.k. Naomba wana JF wanaofahamu wanifahamishe hizi grade wanazigroup vipi kulingana na alama? Yani "A" inaanzia ngapi, "B" inaanzia alama ngapi na kuishia ngapi n.k.
Natanguliza shukrani.