Jambo wa JF,
Siku hizi matokeo ya mtihani wa darasa la saba yanapotoka yanaonyesha grade aliyopata mwanafunzi kwa kila somo, yani A, B+, B, n.k. Naomba wana JF wanaofahamu wanifahamishe hizi grade wanazigroup vipi kulingana na alama? Yani "A" inaanzia ngapi, "B" inaanzia alama ngapi na kuishia ngapi n.k.
Natanguliza shukrani.