Alarm ya mafuta kuflash

Kulikuwa na mafuta kiasi gani kabla hujaongeza?

Petrol kwa Dar ni 3,257 kwa lita. 20,000tsh inakupa 6lts tu, ambayo kiuhalisia ndio reserve ya tank lako. Taa kublink ni sawa kabisa, siju hizi walau uweke 40k+ ndio unahisi umeweka mafuta.
 
Gari yangu inaenda km 13 kwa lita moja. Kwa hiyo, kitendo cha lita 4 kwenda km 6 tu ni indicator ya tatizo. Huwezi kulibaini kwa kuweka mafuta mengi.
Mkuu lita 4 kwa 10,000 wanauza wapi nasi tukanunue. Mfano mimi gari ninalotumia linaanza kuwaka taa kukiwa bado na litaka za kutembea km za kutosha. Nadhani hata lita 8 taa inawaka
 
Kulikuwa na mafuta kiasi gani kabla hujaongeza?

Petrol kwa Dar ni 3,257 kwa lita. 20,000tsh inakupa 6lts tu, ambayo kiuhalisia ndio reserve ya tank lako. Taa kublink ni sawa kabisa, siju hizi walau uweke 40k+ ndio unahisi umeweka mafuta.
Iko hivi, kawaida, tanki langu linapobakiza kuanzia lita 8 kushuka chini, alarm huanza kuflash. Kwa safari niliyokuwa nayo siku hiyo, ilipoanza kuflash nilijua mafuta hayapo zaidi ya lita 8, ndipo niliamua niongeze lita kama 4 kwa sh 20,000.00. Hizo ziliongeza lita kutoka 8 hadi kwenye 12, ambazo kuflash kungekoma lakini kuliendelea. Hapo ndipo ilinipa wasiwasi na kuleta hoja humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…