Alawi Jnr: Nyumba Baraka Da prince anayodai alijenga mimi ndio niliitafuta inunuliwe, haikujengwa

Alawi Jnr: Nyumba Baraka Da prince anayodai alijenga mimi ndio niliitafuta inunuliwe, haikujengwa

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
1,817
Reaction score
4,061
Msanii Alawi Junior amesema nyumba aliyodai kununua Baraka yeye ndio alimtafutia mama mkwe wake ambaye alikuwa anatafuta nyumba na alipo post kumpongeza mama mkwe hakujua kwamba Baraka alikwisha fanyia show off ili kumuaibisha
Amesema yeye alikuwa shahidi wakati wa makabidhiano na kusaini kati ya muuzaji na mnunuzi ambaye ni mama mkwe wake
 
Huyu naye ni msanii wa hapa nchini? Kwahiyo mwenzio kampiga bao kuonyesha mjengo? Au ni wivu wa kike? Anaposema ya mama mkwe anamaanisha mchumba wa Baraka ni wake?
 
japokuwa baraka ana matatizo yake ila huyu jamaa ni empty set kabisa. Kwa hiyo kama ni ya mama mkwe wake? Then what?
 
Ha ha ha baraka ataficha wapi uso wake mweusi
 
baraka ni wa hovyo hovyo kama bosi wake
 
Nahisi baraka da prince amehusika moja kwa moja kwenye ujenzi wa hii nyumba na ametoa gharama zake mfukoni ndo maana amepata ujasiri wa kuitangaza akiwa na naj.

Pia Kwenye interview baraka alisema ni SIRI yao kwamba jina la hati ya nyumba imeandikwa jina gani japo wote wawili wameshirikiana mpaka nyumba kufikia hapo.
 
Hahaha
Alawi mhuni tuu, mbona mi sko IG yet nilijua kuwa da prinz kasema ana nyumba. Alijua sana ancho kifanya
Ila naye da prinz asiwe anafanya mambo kwa kudandia, kuna leo na kesho kama wakigombana na naj na nyumba haija andikishwa kuwa yake atakuja umbuka hapa mjini.
 
Hu alawi amezaa na dada yake Naj anitwa lady Naa,nyumba ni ya mama yao kina NAj
 
Huyu naye ni msanii wa hapa nchini? Kwahiyo mwenzio kampiga bao kuonyesha mjengo? Au ni wivu wa kike? Anaposema ya mama mkwe anamaanisha mchumba wa Baraka ni wake?
Hahaaaaa bro uko vizuri lakini?
 
And now am looking at Baraka like
1476815292989.jpg
 
Vijana wanajiongeza sana....akimwa kidogo oooh mchongo oooh hiv nisaidieni .....ishi maisha yako
 
Back
Top Bottom