REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Haaa haaa sijui nilikuwa nawaza niniTitle yako inachekesha mkuu umeshindwa kuandika Album
Ok.. ukiandika article hakikisha unapitia zaidi ya mara mbili ili kuangalia kama kuna errors lkn kama ni muhimu sana tumia mtu mwingine asome na kurekebisha makosa.Haaa haaa sijui nilikuwa nawaza nini
Ujui mziki tuliaDaah, Ila binadamu tunatofautiana sana. Mimi naona huyu dogo huwa anapiga makelele tu. Lakini mwingine anakuambia ni hatari
Hata kama sijui lakini common sense inaniambia hamna msanii pale zaidi ya kelele na kuunga unga mistariUjui mziki tulia
Huwa mimi mwenyewe simuelewi yeye na yule anaitwa Jaiva sijui.Daah, Ila binadamu tunatofautiana sana. Mimi naona huyu dogo huwa anapiga makelele tu. Lakini mwingine anakuambia ni hatari
Jaiva hamna kitu. Upepo tu ule.Huwa mimi mwenyewe simuelewi yeye na yule anaitwa Jaiva sijui.
Katika album za wasanii zilizotoka mwaka huu 2024, album ya chino ndio bora chukua hiiHata kama sijui lakini common sense inaniambia hamna maanani pale zaidi ya kelele na kuunga unga mistari
Miye mwenyewe niliwaza hivyo hivyo nikasema ngoja nitenge mda wangu nisilize aiseee nilichokutana nacho kimenishangaza kabisa so tenga mda wako msikilize utashangaaHamna kitu pale zote miyeyusho tu
Kwenye album mbona kumeandikwa Sufuri badala ya sifuri. Hiyo Zzero najua ni madoido.Title yako inachekesha mkuu umeshindwa kuandika Album